Nitakavyomkumbuka JK

Na hiyo Kigamboni City ilipigwa picha na nani? Huelewi maana ya concept pictures na photography. Tatizo lako ni elimu, hivi mnafikiri kuelimika ni kukaa kwenye hizo kuta nne tu? humo mnajazwa ujinga bila kujijuwa.

Hapo kwenye blue unazungumzia picha ???
Hebu check hii picha hapa chini !!! The whole of Dar es Salaam city center inatosha kwenye picha (picha ya kupigwa kwa kutumia camera).
Ila wewe ulisema chuo kimoja ambacho ni eneo dogo sana, hakitoshi kwenye picha moja ??
Angalia vizuri picha hii, ina-cover eneo kubwa kuliko chuo kikuu cha Dodoma !!!
Upo hapo ???
Baada ya kuangalia picha vizuri, unaonaje kama yale maneno yako kwenye red kuwa yanakuhusu wewe mwenyewe zaidi !!!??
Hapo Vipi ???
 

Attachments

  • dar 01.jpg
    dar 01.jpg
    23.6 KB · Views: 25
Rais aliyeweka historia ya kuporomoka kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwasababu ya kashfa ya ufisadi wa Richmond na ushkaji kwenye safu za uongozi wa serikali.

Na mahakama ya Kimataifa ikaamuwa mitambo imeletwa inafanya kazi ilipwe.
 
Hapo kwenye blue unazungumzia picha ???
Hebu check hii picha hapa chini !!! The whole of Dar es Salaam city center inatosha kwenye picha (picha ya kupigwa kwa kutumia camera).
Ila wewe ulisema chuo kimoja ambacho ni eneo dogo sana, hakitoshi kwenye picha moja ??
Angalia vizuri picha hii, ina-cover eneo kubwa kuliko chuo kikuu cha Dodoma !!!
Upo hapo ???
Baada ya kuangalia picha vizuri, unaonaje kama yale maneno yako kwenye red kuwa yanakuhusu wewe mwenyewe zaidi !!!??
Hapo Vipi ???

Unachokiona hapo ni nini? upunguani mwingine, ni wa hali ya juu sana. Tatizo lako ni elimu.
 
Rais pekee katika historia ya Tanzania kwa kumtajirisha mtoto wake hadi kuwa billionea mkubwa sana.
Mtoto wake amemaliza chuo hivi karibuni tu lakini hivi sasa ni bilionea 'wa kufa mtu' aka 'young billionaire !!'

[h=1]KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI KITUO CHA UPASUAJI MOYO MUHIMBILI[/h]

08.JPG
Rais Kikwete akiweka udongo katika jiwe la msingi, kulia kwake ni Balozi Xisheng wa China na kushoto kwake Profesa Mwakyusa.
 
Unachokiona hapo ni nini? upunguani mwingine, ni wa hali ya juu sana. Tatizo lako ni elimu.

Ooops, unataka kujua hapo kwenye red kuwa nani zaidi (kwenye upunguani) ???
Basi, angalia picha hii hapa ndio utajua hilo !!!

Rais pekee katika historia ya Tanzania aliyeuza kipande cha nchi (Kigamboni) kwa wawekezaji, na kusababisha wananchi wazawa wa Kigamboni kuishi kwa hofu ya kutimuliwa kwenye ardhi ya nchi yao wenyewe !!!
 

Attachments

  • Bush.jpg
    Bush.jpg
    32.1 KB · Views: 26
Ooops, unataka kujua hapo kwenye red kuwa nani zaidi (kwenye upunguani) ???
Basi, angalia picha hii hapa ndio utajua hilo !!!

Rais pekee katika historia ya Tanzania aliyeuza kipande cha nchi (Kigamboni) kwa wawekezaji, na kusababisha wananchi wazawa wa Kigamboni kuishi kwa hofu ya kutimuliwa kwenye ardhi ya nchi yao wenyewe !!!

New%20Kigamboni.jpg

How the proposed Kigamboni city will looks like in future.
 
Rais pekee katika historia ya Tanzania aliyeahidi kujenga barabara za juu aka 'Fly-overs', ambazo mpaka kesho fly-overs hizo ni za kufikirika tu ...

Z
 

Attachments

  • flyovers01.jpg
    flyovers01.jpg
    81.1 KB · Views: 32
zomba zomba who pays you to defend CCM and suppress other oppoistion parties
you always defend JK hata kwa baya na CCM yake
you always critisize Chadema hata kama wamekuja na wazo zuri
kwako wewe CCM ni wema siku zote na wapinzani ni wabaya siku zote
katika ilani ya CCM tuliahidiwa mengi lakini 70% hazijatekelezwa
sitazungumziwa tena katika chaguzi zijazo na vizazi vijavo.

kwa chuo cha UDOM naunga mkono ni mazuri ya serikali kwa
kutumia fedha zetu walipa kodi bila kujali mwanaCCM au mpinzani
kwani wote ni wanachama wa mifuko ya hifadhi za jamii
cha kujiuliza je elimu inayotolewa inakidhi viwango katika soko la ajira?

je majengo hao unayodai hayaenei kwenye picha kana kwamba unaowaambia hatujasoma yana ubora?
je ni kweli JK hana mapungufu? sio dhaifu katika maamuzi? yako mengi ya kumsifu na mengi saaana ya kumkosoa.
kwa ufupi ameshindwa kutimiza ahadi yake ya maisha bora kwa mtanzania
pole kwa mawazo yako ya funika kombe mwanaharamu apite vijana wameamka sasa.
 
Rais aliyejenga chuo kikuu kikubwa Afrika Mashariki na ya Kati, Hii ni college of education pekee, chuo kizima hakiingii kwenye picha moja:

udom-012-college-of-education-hostels23.jpg
Rais wa kwanza Duniani aliyediriki kuwaibia wafanyakazi viinua mgongo!! NSSF.
 
Rais wa kwanza Duniani aliyediriki kuwaibia wafanyakazi viinua mgongo!! NSSF.

Na bado mtasema sana:

[h=1]NSSF WESTADI Scheme is now launched.[/h]
After a successful launch of the Welfare Scheme for Tanzanians in the Diaspora (WESTADI) by His Excellency, President of the United Republic of Tanzania, Honorable Jakaya Mrisho Kikwete in Dulles Virginia USA Last September 2011; NSSF is delighted to announce that, the scheme is now operational.
The Insured person will be required to pay a premium of $300 per year and enjoy the following generous benefit packages.
[h=5]Repatriation Benefit[/h]
  • Burial services if the Insured Person opts to be buried in respective Diaspora Country
  • Repatriation Services along with an accompanying person.
[h=5]Health Benefit[/h]
  • Free Medical care to the Insured Person when visiting Tanzania
  • Free medical care to any four chosen dependants who are living in Tanzania

To join now please click here
For any further queries kindly contact:
Rehema H Chuma
General Line; +255 22 2163400-19 Ext 1033
Cellular; +255 756 140270
Email adress; rchuma@nssf.or.tz
 
zomba zomba who pays you to defend CCM and suppress other oppoistion parties
you always defend JK hata kwa baya na CCM yake
you always critisize Chadema hata kama wamekuja na wazo zuri
kwako wewe CCM ni wema siku zote na wapinzani ni wabaya siku zote
katika ilani ya CCM tuliahidiwa mengi lakini 70% hazijatekelezwa
sitazungumziwa tena katika chaguzi zijazo na vizazi vijavo.

kwa chuo cha UDOM naunga mkono ni mazuri ya serikali kwa
kutumia fedha zetu walipa kodi bila kujali mwanaCCM au mpinzani
kwani wote ni wanachama wa mifuko ya hifadhi za jamii
cha kujiuliza je elimu inayotolewa inakidhi viwango katika soko la ajira?

je majengo hao unayodai hayaenei kwenye picha kana kwamba unaowaambia hatujasoma yana ubora?
je ni kweli JK hana mapungufu? sio dhaifu katika maamuzi? yako mengi ya kumsifu na mengi saaana ya kumkosoa.
kwa ufupi ameshindwa kutimiza ahadi yake ya maisha bora kwa mtanzania
pole kwa mawazo yako ya funika kombe mwanaharamu apite vijana wameamka sasa.

Hahahahaha. . . .zomba yupi wa ku reason nae?
ImageUploadedByJamiiForums1347987091.609461.jpg
 
Rais ambaye hajui kwa nini tanzania ni maskini lakini bado yuko ikulu!!!!!!!!!!!
 
Ni rais aliyejenga shule za sekondari nyingi hadi katika miji ya Waisilamu kuliko maraisi wote waliyomtangulia.

Hiyo ni kweli kwani nasikia Huko Lindi na sikonge Wazazi wanatoa pesa kwa walimu ili kuhakikisha Vijana wao Hawafaulu!!
 
Nitamkumbuka Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama Rais aliyeelewa mahitaji ya wakati na kukubali kuingiza suala la UUNDAJI WA KATIBA MPYA kama moja ya items ambayo zilikuwepo kwenye manifesto ya chama chake, INGAWA halikuwepo.

Kwa lengo lililowekwa la kuwa na katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2015 na likatimia kwa
Mzee Warioba akisaidiwa na Jaji Mkuu Ramadhani wakiwa wametekeleza wajibu wao kwa uaminifu na uwezo wao wote bila kusahau/kupuuza michango ya msingi ya wadau na subsequently kuwasilisha KATIBA BORA itakayotupeleka miaka 50 au zaidi bila viraka vya hapa na pale, nikiona watoto wangu wakipata haki zao na kujenga maisha yao na taifa lao kwa ujumla, hakika...tena HAKIKA bila kumung'unya maneno wala vidole vyangu kusita kubonyeza "keys", nasema/naandika NITAMUENZI siku zote za maisha yangu.

Nina imani SOTE tunaungana katika hilo.

MUNGU TUSAIDIE....mustakabali wa maisha yetu kama MTU MMOJA MMOJA na kama TAIFA...MSINGI WAKE UPO HAPO
 
Back
Top Bottom