Nitakavyomkumbuka JK



An-architectural-impression-of-the-Kigamboni-bridge.jpg


An architectural impression of the Kigamboni bridge

Soma zaidi: Kigamboni bridge to be ready in 36 months

Yes likiisha litapunguza ughali wa kusafirisha mizigo na watu kutoka/kwenda sehemu mbali mbali za nchi yetu
 
mie ntamkumbuka JK kama raisi mwenye tabasamu pana na la bashasha kuliko maraisi woote waliomtangulia.....
 
Ni rais aliyejenga shule za sekondari nyingi hadi katika miji ya Waisilamu kuliko maraisi wote waliyomtangulia.

Udini, udini, udini, siku zote najaribu kujiweka kando na hali hii, ukiongezea ukanda na ukabila, please mi uthibitisho wa hili sina so kama una evidence ya jambo hili tuwekee.
 
Mara nyingi mkuu huyu amekuwa akisemwa kwa mabaya tu. Nimetafakari na kugundua kuna mambo atakumbukwa kwayo, mbali na mapungufu aliyo/anayoyaonyesha. Rais huyu amefanikisha sensa ya watu na makazi - sijui ni kwa ubora upi, lakini hilo limefanyika. Huyu ndugu anapigania vitambulisho vya kitaifa. Aikifanikiwa ni jambo la kukumbukwa pia. Aidha, alicho-copy na kinaweza kumpa credit kubwa ni kufanikisha kutupatia katiba mpya ya nchi. Namwomba afanye awezalo japo watanzania tumkumbuke vyema kwa haya!
 
ESTABLISHMENT:
The University of Dodoma was formaly established in March 2007 following the signing of the charter by the president of United republic of Tanzania. The first academic programmes commenced in september 2007.

The University has been designed on a campus college mode each of which will be semi autonomous. In its structure, six colleges are envisaged when the university if fully established by 2012/13. There are:



  • College of Education
  • College fo Hummanities and Social Sciences
  • College of Informatics and Virtual Education
  • College of Natural Sciences and Mathematics
  • College of Health and Allied Sciences
  • College of Earth Sciences


UDOM initially started with four schools, namely Education, Hummanities, Social Sciences and informatics. Currently three colleges and two schools are Operational. These are College of Education, Hummanities and Social Sciences, and College of Informatics and Virtual Education. In addition there are four chools on transition to Campus College. These are School of Natural Sciences and mathematics, on transition to College of Natural Sciences and Mathematics; School of Medicine and Nursing on transition to College of Health and Allied Sciences; and School of Mines and Petroleum to College of Earth Sciences.


Source: The University of Dodoma
Kwa hiyo aliyepewa sifa hastahili!
 
Nitamkumbuka kama rais wetu aliyefanya mambo makubwa kuliko wote waliomtangulia
1.Chuo kikuu dom hakuna mfano wake africa
2.kupandisha mishahara ya wafanyakazi
3.Sekondari kata zote nchini hakuna tena wasichana kuchukuliwa uhousgirl wote shule
4.Zahanati kila kijiji hadi 2015 vijiji vyote vina zahanati
6.uhuru wa vyombo vya habari
7.Hajafanya biashara yeyote full time yuko kuhudumia wananchi
8kapambana na mafisadi kwa uthubutu wa kipekee ambao wenzie uliwashinda(CAG,PCCB nk nk)
9.Kaboresha jeshi la polisi maslahi yao na vitendea kazi(magari VX kwa rpc,hardtop za kumwaga,deffender,majengo ya kisasa askari wanamudu maisha sasa hadi wameeza kununua magari)
10.Barabara kajenga nyiiingiii hadi 2015 zitakuwa zimekamilika
11---- ni mengi mengi mazuri tatizo ushabiki wa siasa za kizamani zisizokuwa na tija yeyote ndo mnaandika msiyoyajua hamna hata shukurani nyie wala moyo wa kusifia mazuri mnasikitisha sana kumbukeni mnyonge mnyongeni haki yake mpeni


mkuu achana nae huyo mtoa mada anaweza kua na mtindio wa ubongo mana kuna vingi sana vya kukumbuka na vya maana kwa TAIFA vingi zaid ya ulivotaja apo, kwa mfano daraja la kigamboni kila rais alifunika kombe mwanaharam apite wakakimbia JK kaingiza timu anapambana daraja linajengwa manataka afanye nini mumuone wa mana, kivuko kipya ni nafuu kwa wakaz wa kigambon vp hamuon? mkuu achana nao hao hawana jema wazembe wa fikra hao.
kwangu mimi JK ni bora kuliko JAMBAZ MKAPA, MZEE RUKSA MWINYI but kwa MWALIMU Nyerere ATASUBIRI SANA!
ni mtazamo tu!
 
Ulitaka atumie fedha za nani? hivi ulikwenda NSSF kudai mafao yako ukaambiwa hakuna.

Rais ambaye alitia sahihi sheria dhalimu ya mafao ya wafanyakazi, na kusababisha malalamiko makubwa sana kutoka kwa wafanyakazi.
 
Rais pekee wa Tanzania aliyeweka historia ya kuwa na wanafunzi waliofaulu kwenda sekondari huku wakiwa hawajui kusoma wala kuandika.
 
Rais pekee katika historia ya Tanzania kwa kumtajirisha mtoto wake hadi kuwa billionea mkubwa sana.
Mtoto wake amemaliza chuo hivi karibuni tu lakini hivi sasa ni bilionea 'wa kufa mtu' aka 'young billionaire !!'
 
Rais aliyejenga chuo kikuu kikubwa Afrika Mashariki na ya Kati, Hii ni college of education pekee, chuo kizima hakiingii kwenye picha moja:

Hapo kwenye red,

Labda ungesema kuwa "...pesa zote zilizoporwa na mafisadi haziingii kwenye account moja ya benki kule Uswisi..." ningekuelewa.
Chuo kizima kinaingia kwenye picha, angalia mfano huu hapa chini...mfano wa Kigamboni city, yote inaingia kwenye picha moja, sembuse hicho chuo kimoja tu !!!
 

Attachments

  • Kigamboni.jpg
    Kigamboni.jpg
    66.8 KB · Views: 31
Kila siku nawaambia jamaa zangu kuwa nitamkumbuka sana kikwete ka kutuingiza chaka na rundo la ahadi za uongo!
kama ile ya " KUUNGANISHA SHULE ZOTE ZA MSINGI TANZANIA NA MTANDAO WA INTERNET" ilhali asilimia kubwa ya shule hizo hazina umeme, miundombinu ya kusapoti hiyo connection, hazina madawati, hazina walimu wa kutosha etc....
 
Na hiyo Kigamboni City ilipigwa picha na nani? Huelewi maana ya concept pictures na photography. Tatizo lako ni elimu, hivi mnafikiri kuelimika ni kukaa kwenye hizo kuta nne tu? humo mnajazwa ujinga bila kujijuwa.
 
Kwa hiyo aliyepewa sifa hastahili!

Rais aliyeweka historia ya ahadi ya 'Maisha Bora kwa Kila Mtanzania' na kufanikiwa kutekeleza ahadi hiyo kama inavyoonekana katika picha hii hapa chini ....

9k=
 

Attachments

  • maisha bora.jpg
    maisha bora.jpg
    42.1 KB · Views: 26
Na hiyo Kigamboni City ilipigwa picha na nani? Huelewi maana ya concept pictures na photography. Tatizo lako ni elimu, hivi mnafikiri kuelimika ni kukaa kwenye hizo kuta nne tu? humo mnajazwa ujinga bila kujijuwa.

Elimu ?? Hebu angalia rais wako ambaye anajiita Dr. Kikwete, labda kwa sababu amesoma.
Sasa angalia huyo aliyesoma, kwenye picha hapo, this is the best he can do katika ujenzi wa Taifa !!!
 

Attachments

  • mrembo.jpg
    mrembo.jpg
    11.3 KB · Views: 30
Back
Top Bottom