BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
Hakuna kitu muhimu kama trust
Bahati mbaya sahivi sijui kama inaexist kama ipo 1 kwa 20Hakuna kitu muhimu kama trust
Siku moja mpige ambushi , akirudi mvue nguo zote achuchumae halafu mvutishe ugoro ..... Alianza kupiga chafya utapata majibu au mrushe kichura chura labda waweze wanatumia condom.
Ila kingine mkuu mwachishe tu kazi kama una ubavu wa kuhudumiakila kitu.
Ingekuwa wewe ungegoma?akigoma je ..............
Ingekuwa wewe ungegoma?
Hiyo ni kama kugomea mahakama........
​angalia kwenye kisogo chake nywele zinanyonyoka kidogo
nagoma kama hatuaminiani basi bwana
kwa yule anayependa kugegedwa akiwa amelala chali formula hii ina apply...mmh kisogo na papuchi kutumika vina uhusiano ee
wasomaji wa ze guardian eee?kwa yule anayependa kugegedwa akiwa amelala chali formula hii ina apply...