Yaani mi na unazi wangu wote wa mpira yaani kuanzia nikiwa mdogo let say kuanzia 2000 nipo la 3 huko nafatilia mpira sana hasa chama langu man u ambalo sa ivi ni tia tia maji.... Ila sikuwahi kushabikia Mpira wa bongo kabisa... Yaani nilikua siuelewi kabisa Wala Sina timu1. Said Maulid SMG alinifanya nikaipenda Yanga 2000
2. Thiery Henry, nikawa shabiki wa Arsenal 2004
Van magoli... Man uRuud van nisterlooy
Roy kean
Wyne Rooney
Raul Gonzalez Blanco
Ryan Giggs
Leon Osman