nyengo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 454
- 184
leo asubuhi nilikuwa na mazungumzo na mtoto wangu ambae ana miaka 7. Tulikuwa tunazungumzia mawsala ya dini na isuue yenyewe ilikuwa ni kuhusu sadaka. Ni kwamba dini kalibu zote huwa zinatoa sadaka. Na sadaka mara nyingi huwa mungu anachinjiwa kondoo, mbuzi na hata ngombe.
mtoto hivi mungu naye anakula hao wanyama?
mimi hapana, mungu hahitaji kula
mtoto je kama mungu akila itakuaje?
mimi ntakujibu vizuri baadae nikirudi kazini.
kwa kweli sikujua jibu lake na bado silijui. Naomba kama mtu anajibu niambieni nikamjibu mwanangu.
mtoto hivi mungu naye anakula hao wanyama?
mimi hapana, mungu hahitaji kula
mtoto je kama mungu akila itakuaje?
mimi ntakujibu vizuri baadae nikirudi kazini.
kwa kweli sikujua jibu lake na bado silijui. Naomba kama mtu anajibu niambieni nikamjibu mwanangu.