Nishaurini jamani! Mapenzi yamenipa mgongo!!

Mulika Mwizi, pia jipe moyo, kama Mungu hajapanga muishi wote hatakuoa kwa sababu yoyote ile. Vyovyote vile Mungu anakutakia mema!

Kujihakikishia kama bado unapendwa omba kukaa kwake wiki uone atakavyo kufukuzia mbali.

Ila namuonea huruma nae pia maana atakapokuacha baada ya miaka 2 atajutia uamuzi.

Mpende kiasi, anaefaa kupendwa sana ni Mumeo, sio mchumba!

thnx dia.
 
Ni miaka sita sasa tangu niishi na mpenz wangu ninaempenda kwa dhati.lakini naona ameanza kunibadilikia.ni kawaida yetu kuonana kila weekend.lakini cku hizi hana mda wa kuonana na mm,cmu akinipigia kwa wiki mara moja au mbili na huwa hana stori ni salamu tu.nikijaribu kumtilia stori za kimahaba huwa hayupo interested wala haonyeshi furaha yoyote.
Nikimpigia cmu hapokei,nikimuuliz a kulikoni anasema yuko bize na kazi.nikimhoji kama nimemkosea au kuna tatizo lolote anasema hapana.
Kwa kweli ananichanganya na kunikosesha raha coz kashanitambulisha kwa wazazi wake na nyumbani anajulikana.nikimwambia umechange ananifokea.WANAJAMII NISHAURINI..
pole mwaya mdudu keshaingia kokwani mwaya,! sasa ingia jikoni upya, mtafute mtu unayemuaminia aweza kupa mambo kikamilifu, si ya kitandani tu, but pia sectors nyingine, mfano mapishi, kauli nzuri, jaribu kujifanya mpole na kwamba hujachukizwa, ili umzidi kete huyo mdudu kokwani! pole sana.
 
Kabla ya kuoa niliamini kuwa na mpenzi mmoja ni kutafuta presha!, kumbe kuwa na wengi nayo pia ni presha!

Mila ya wahindi naikubali, hakuna kijana anaejitafutia mke. ni kazi ya wazazi, baada ya kuoa, unaendelea kuishi na wazazi kama kawa!, haijalishi una hela au huna. Na takwimu zinaonesha ndoa zao zinadumu kuliko wengine wote duniani. Tuirudie mila hii ya Mwafrica iliyopotea.

so unanishaur niwe muhindi au?
 
kutambulishwa kwa wazazi siku hizi imekua fashion wazazi wenyewe ndo hawa wa siku hizi mmmh...ila pole mumie wala hilo la kutambulishwa lisikupe shida...cha msingi usome alama za nyakati mapemaaaaa na ujue nn kinaendelea kuliko kuendelea kujiumiza roho tuu......investigate n take action mapema mambo ya kusema ooooh tumekaa miaka mingi now days haina mashiko.....pole n take a good care of yaself....cheers

thnx mpendwa.
 
miaka sita?duh sio nakukatisha tamaa,ila huyo mtu hana nia ya kuishi na wewe,maana miaka sita kwa watu wenya nia kinekuwa kimeeleweka.

note:uchumba wa mda mrefu unaeffect kubwa sana maana wewe umeweka 100% kuw aupo nae milele lakini lwenzio kashakutoa vikasor kibao ndo maana siku hizi anaona huna maana tena.

Muombe Mungu akujibu,shida moja ,watu huwa hatukubali majibu ya mungu hasa yanapokuwa tofauti na tunavyotaka,ila nakushauri kubali lolote litakalotokea,maana its for your own good.
polee sana maana inauma unaweza pasuka moyo.

thnx mamajack.
 
Hayo ndo madhara ya uchumba wa mda mrefu!mnachokana kabla hata ya kuoana..pole sana it seems mwenzio ameshapata kipya kinyemi wewe anakuona si lolote tena..
 
mh,pole bidada. miaka sita mnasubiri nin kufunga ndoa? hyo keshaonesha waz kuwa kakuchoka! mwe stuka. akufukuzaye hakwambii toka.mketishe akupe black and white pia uwe tayar kwa kuachwa!

ha2wez kuoana dia coz mm bdo nasoma.
 
pole mwaya mdudu keshaingia kokwani mwaya,! sasa ingia jikoni upya, mtafute mtu unayemuaminia aweza kupa mambo kikamilifu, si ya kitandani tu, but pia sectors nyingine, mfano mapishi, kauli nzuri, jaribu kujifanya mpole na kwamba hujachukizwa, ili umzidi kete huyo mdudu kokwani! pole sana.

ahsnt sn dada yng.
 
hata nikimuliza hasemi chochote.

Pole kwa yanayokusibu.

Ushauri wangu:

1: Jipende wewe mwenyewe kwanza ndio umpende mtu mwingine. Kwa kufanya hivyo utajihurumia so hutajiua au kujipatia magonjwa yasiokuwa na sababu. Kama vile, Presha, Vidonda vya tumbo, kuumwa kichwa, hofu, kujikataa na mengine mengi

2: Tambua, kumbuka na zingatia kwamba NAFSI ya mtu mwingine huwezi kuipeleka unavyotaka kama yenyewe haijapenda na kuamua kusikiliza matakwa yako. Hilo lijue tu, kwamba nafsi yako ikiamua hata leo sitaki kumuona huyu, kuongea naye, kumpigia wala kumwandikia imeamua. Na ikizingatia uamumuzi huo kamwe mtu wa nje hata kama unadhani unampenda vipi hawezi kuibadilisha. So ni mwanadamu huyo, kaamua, ana utashi wake, akili zake na nguvu zake naamini.

Huna uwezo wakumbadili awe kama alivyokuwa kama kaamua kubadilika....TULIA SANA. Jitahidi kumuomba Mungu akupe faraja na amani. Mwombe Mungu akuondolee huzuni, chuki na kisasi. Kama imeandikwa itakuwa tu.....Atakwenda atarudi.
 
Ni miaka sita sasa tangu niishi na mpenz wangu ninaempenda kwa dhati.lakini naona ameanza kunibadilikia.ni kawaida yetu kuonana kila weekend.lakini cku hizi hana mda wa kuonana na mm,cmu akinipigia kwa wiki mara moja au mbili na huwa hana stori ni salamu tu.nikijaribu kumtilia stori za kimahaba huwa hayupo interested wala haonyeshi furaha yoyote.
Nikimpigia cmu hapokei,nikimuuliz a kulikoni anasema yuko bize na kazi.nikimhoji kama nimemkosea au kuna tatizo lolote anasema hapana.
Kwa kweli ananichanganya na kunikosesha raha coz kashanitambulisha kwa wazazi wake na nyumbani anajulikana.nikimwambia umechange ananifokea.WANAJAMII NISHAURINI..

pole sana! jaribu kufanya utafiti kujua nin tatizo!
 
mapenzi yana run dunia, hii sekta sijui kwanini ilikuwepo...............so hofu yako ni kwamba ameshakutambulisha nyumbani so kuachana unaona haiwezekani...........bora nusu shari kuliko shari zima...............kaa nae muongee kwa mapana na marefu kama haelekei achana nae..............mana wewe ndo utakuja kuishi nae hapo baadaye isije ikawa ndoa ndoano.
 
ahsante sn. Ha2wez kuish pamoja coz mm bado ni mwanafunz nnetegemea kuingia chuo mwaka huu.ila ntafata ushaur wko.ahsnt.
for that case zingatia shule tu ndugu yangu mana elimu ndo mume/mke wa kweli hamtaachana hata ukiingia kaburini mtaingia wote na kuzikwa pamoja.
 
Hayo ndo madhara ya uchumba wa mda mrefu!mnachokana kabla hata ya kuoana..pole sana it seems mwenzio ameshapata kipya kinyemi wewe anakuona si lolote tena..

dah!km kwel ni ivo atanicost.
 
Back
Top Bottom