- Thread starter
- #41
Mulika Mwizi, pia jipe moyo, kama Mungu hajapanga muishi wote hatakuoa kwa sababu yoyote ile. Vyovyote vile Mungu anakutakia mema!
Kujihakikishia kama bado unapendwa omba kukaa kwake wiki uone atakavyo kufukuzia mbali.
Ila namuonea huruma nae pia maana atakapokuacha baada ya miaka 2 atajutia uamuzi.
Mpende kiasi, anaefaa kupendwa sana ni Mumeo, sio mchumba!
thnx dia.