Head Gelo
Senior Member
- Oct 7, 2018
- 122
- 210
Mshahara wangu
Take home ni laki nane kwa sababu nina mkopo NMB ambao bado saa uishe ulikuwa na miaka 6
Hapo hapo nina biashara ya duka la hardware napata mia mbili mbili ,na vyumba viwili vya kupanga ambavyo napata 120,000 kwa mwezi
Sasa hii biashara imeyumba kwa kiasi flani bidhaa zimeisha sana ila kuna wateja so mauzo yameshuka sana na hapo hapo kuna rejesho ambalo bado miezi mitano liishe (Nilikopa mkopo wa mwaka mmoja mkopo wa biashara)
Sasa kila nikipata huu mshahara sifanyi kitu chochote cha maana
Naombeni mnipe ushauri nifanyeje kati ya hizi option
Nikope mkopo mpya benki nyingine nibust duka??
Au nitop up mkopo wa awali wa mtumishi ? Nibust duka
Au Nikope niongezee vyumba vya kupanga ?niendelee kupata kodi??
Au nifanye nini ambacho kitanipa faidaaa??
Naombeni mnipe mawazo enu tafadhali ,
NB:Mikopo midogo dogo kama milion 2-4 naweza kukopa pia kirahisi kwenye kikoba
Karibuni
Nv
Take home ni laki nane kwa sababu nina mkopo NMB ambao bado saa uishe ulikuwa na miaka 6
Hapo hapo nina biashara ya duka la hardware napata mia mbili mbili ,na vyumba viwili vya kupanga ambavyo napata 120,000 kwa mwezi
Sasa hii biashara imeyumba kwa kiasi flani bidhaa zimeisha sana ila kuna wateja so mauzo yameshuka sana na hapo hapo kuna rejesho ambalo bado miezi mitano liishe (Nilikopa mkopo wa mwaka mmoja mkopo wa biashara)
Sasa kila nikipata huu mshahara sifanyi kitu chochote cha maana
Naombeni mnipe ushauri nifanyeje kati ya hizi option
Nikope mkopo mpya benki nyingine nibust duka??
Au nitop up mkopo wa awali wa mtumishi ? Nibust duka
Au Nikope niongezee vyumba vya kupanga ?niendelee kupata kodi??
Au nifanye nini ambacho kitanipa faidaaa??
Naombeni mnipe mawazo enu tafadhali ,
NB:Mikopo midogo dogo kama milion 2-4 naweza kukopa pia kirahisi kwenye kikoba
Karibuni
Nv