Nisaidieni

MalaikaMweupe

Member
Feb 24, 2009
72
18
Jana ilitangazwa kuwa 'taasisi ya madawa na chakula' iliiifanya shtukizo la ukaguzi wa vipodozi vya kuongeza na kupunguza maungo ya mwili kariakoo... 'Kazi nzuri! cha ajabu walikwenda na waandishi wa habari na dunia nzima....Tanzania nzima tukajua kulichotendeka.. woga wangu ni kwamba, je maduka yaliyo nje ya Kariakoo, huko Temeke,Tabata,Kijito, Mwenge ,Ilala na upajupo...hawataficha hivyo vipodozi? sasa kweli hii taasisi imesaidia au wanatuziba midomo?:confused:
 
Maduka ya huko ulikotaja yatatembelewa kwa wakati wake!

Kama umeona Operesheni za TRA, huwa zinakuwa hivyohivyo! Wanapita mtaani, na jamaa wote wa eneo hilo huwa wanafunga maduka kuwakwepa, lakini ipo siku wanawatime!, na hakuna njia rahisi sana ya kutumia kwa wateja zaidi ya hiyo.

Lakini Udhibiti mkubwa ungefanywa kwenye importation ya hizi bdidhaa!
Pana shida kubwa sana hapo.
 
Huo ndiyo utendaji wa kazi kwa mashirika ya serikali ya tanzania.Rai hapa ni kwa vyombo vya habari kwani mimi naona shida kuamini kuwa ni lazima vyombo vya habari vipate habari kama hizo baada ya msako hivi wao hawezi kufanya uchunguzi na kutupatia news?afadhari umeongea dar,je kule Kyaka,Ngara,mpanda,srengeti nk nako watabeba lundo la waandishi ni utendaji usio na mashiko.nafikiri tatizo ni kwenye kuagiza,wadhibiti hukohata na wale wanaozityumia na upungufu wa akili,elimu nk
 
Kwani wewe hujui mikwara ya kiTz? unajua hali itukuaje? wacha nikupashe ;vipodozi hivyo vitapanda bei ile mbaya na waliozoea na wenye uwezo watanunua na wale wenzangu wataingia mikenge ya machemist uchwara na kununua huko [madhara kesho]. Mifano ipo mingi mbona dawa za kujichubua ambazo zimepigwa marufuku zipo mitaani?
Hivi tunajiuliza hizi dawa zimeingiaje nchini? jibu ni kuwa kama imezekana pembe za tembo bila TRA kujua rasmi itashindikana vipodozi? Hawa jamaa wanatuzingua tu. Umesahau JK alisema ana majina ya walarushwa TRA? Wa Tz tunafunga geti wakati mwizi kesha ondoka.
 
Back
Top Bottom