MalaikaMweupe
Member
- Feb 24, 2009
- 72
- 18
Jana ilitangazwa kuwa 'taasisi ya madawa na chakula' iliiifanya shtukizo la ukaguzi wa vipodozi vya kuongeza na kupunguza maungo ya mwili kariakoo... 'Kazi nzuri! cha ajabu walikwenda na waandishi wa habari na dunia nzima....Tanzania nzima tukajua kulichotendeka.. woga wangu ni kwamba, je maduka yaliyo nje ya Kariakoo, huko Temeke,Tabata,Kijito, Mwenge ,Ilala na upajupo...hawataficha hivyo vipodozi? sasa kweli hii taasisi imesaidia au wanatuziba midomo?