Rebel volcano
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 403
- 86
ni chama gani cha upinzani barani africa kilishika madaraka kutoka chama tawala,na kikawa bora zaidi na kuleta mabadiliko??!!!(kwa kupitia uchaguzi)
kwa mtazamo wangu mbwembwe huwa nyingi utendaji kazi huwa ni ule ule!
nimewasilisha wazo!
kwa mtazamo wangu mbwembwe huwa nyingi utendaji kazi huwa ni ule ule!
nimewasilisha wazo!