Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 991
ingia hapo kikavu piga vitunguu maji vya umwagiliaji utanipa majibu after3 month
Mkuu hebu badilisha hiyo Avatar yako basi inatisha watu tunaogopa kuingia JF kwa sababu yako
Kikavu ni wapi?
ingia hapo kikavu piga vitunguu maji vya umwagiliaji utanipa majibu after3 month
Mawazo ya wanajamii ni mazuri. JARIBU BODA BODA!!!!
Nunua piki piki 2 tbeter au yoyote ya kichina Bei moja ni milioni moja na laki nne 1.4
nakushauri ununue mbili so ni milioni 2 na laki 8
tafuta vijana wawili waaminifu wafanye boda boda kwa siku ni elfu 10 so kwa mbili ni elfu 20
easy money japo zipo nyingi huwezi lala njaa. kwa wiki unaingiza laki 140 mara wiki 4 so
kwa mwezi laki 5 na 60:
here is how:
kwa siku 10,000 * 2 =20,000
kwa wiki 20,000 * 7 =140,000
kwa mwezi 140,000 * 4= 560,000
kumbuka service ni elfu 50. ikipata ajari kuirekebisha vifaa na spea haizidi elfu 50
pia usisikilize maneno ya watu kwamba zipo nyingi sababu ili ufanikiwe ni lazima uwe RISK TAKER. pia wakisema zipo nyingi jua kuwa kwenye vingi ndio pana mengi more faida i mean.
Mkuu we semea hapa hapa jamvini. Unaweza ukakuta kuna watu wengine wana uzoefu zaidi na hiyo bussiness yako wakakupa mawazo bora kuliko yale uliyokuwa nayo.Am also in moshi am gonna show you an amazing business with a very little investiment and its worthy milions of money in 3-5 years or less.am specifically at kcmc you can reach me through 0752720276.
Mkuu we semea hapa hapa jamvini. Unaweza ukakuta kuna watu wengine wana uzoefu zaidi na hiyo bussiness yako wakakupa mawazo bora kuliko yale uliyokuwa nayo.
Weka hapa watu wachangie.
Am also in moshi am gonna show you an amazing business with a very little investiment and its worthy milions of money in 3-5 years or less.am specifically at kcmc you can reach me through 0752720276.
Am also in moshi am gonna show you an amazing business with a very little investiment and its worthy milions of money in 3-5 years or less.am specifically at kcmc you can reach me through 0752720276.
mtoa post alitaka ashauriwe miaka miwili nyuma 2011, now 2013
inawezekana hizo pesa hanazo tena, au yupo mishe nyingine kabisa hana tena mawazo ya biashara.
kwahiyo weka hayo mawazo yako hapa, wana-jf wote tufafaidike na hayo mawazo.
Nielimishe kidogo,
1. unataka kuniambia kuwa boda boda inaingiza si chini ya 10,000 kwa siku?
2. Mbona katika hesabu zako hukuweka malipo ya dereva wako?
3. Gharama za petroli/diessel ziko wapi?
4. Naona hukuainisha ni muda gani itachukuwa kuwa even na gharama za kuanzisha biashara yote?
5. Insuarance iko wapi?
6. Ni kwa kipimo gani utajua kama dereva alipata pesa zaidi au chini ya 10,000 kwa siku?
Muulize Yericko Nyerere