Waheshimiwa wana JF.
Wengi wanasema wanashidwa kuanzisha biashara kwasababu hawana mitaji lakini mimi ni kinyume chake nina mtaji wa tsh 3,00,000/=, mimi ni mwalimu naomba msaada wa mawazo ya biashara ambayo naweza kuifanya himo-moshi.
Biashara iwe ile ambayo angalau kwa siku lazima nipate wateja.
Asante wadau.
Wengi wanasema wanashidwa kuanzisha biashara kwasababu hawana mitaji lakini mimi ni kinyume chake nina mtaji wa tsh 3,00,000/=, mimi ni mwalimu naomba msaada wa mawazo ya biashara ambayo naweza kuifanya himo-moshi.
Biashara iwe ile ambayo angalau kwa siku lazima nipate wateja.
Asante wadau.