Habari za Leo wadau wa jamii forums.
Ninashuhudia baadhi ya watu wakiniogopa sana na sijawai kuwasemesha Wala kuwatania. Hali hii inanifanya nikose amani maana wao wanahisi kukosa amani utulivu na mtiririko wa mahali husika.
Mfano leo nimeenda mahali nikakutana na watu wengine lakini akatokea kijana mmoja ananiogopa, muda wote ana wasi wasi Kila anionapo. Mwanzoni nilikuwa nadhani labda ni utoto lakini jinsi muda unavyoenda nashuhudia watu Wengi wanaonigopa.
Hii ni nini? Nisaidieni niondokane na Hali ya kugopwa maana napenda kujumuika na wengine ila inatokea wanaanza kuniogopa TU bila sababu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninashuhudia baadhi ya watu wakiniogopa sana na sijawai kuwasemesha Wala kuwatania. Hali hii inanifanya nikose amani maana wao wanahisi kukosa amani utulivu na mtiririko wa mahali husika.
Mfano leo nimeenda mahali nikakutana na watu wengine lakini akatokea kijana mmoja ananiogopa, muda wote ana wasi wasi Kila anionapo. Mwanzoni nilikuwa nadhani labda ni utoto lakini jinsi muda unavyoenda nashuhudia watu Wengi wanaonigopa.
Hii ni nini? Nisaidieni niondokane na Hali ya kugopwa maana napenda kujumuika na wengine ila inatokea wanaanza kuniogopa TU bila sababu.
Sent using Jamii Forums mobile app