Mangandula
Senior Member
- Nov 30, 2011
- 184
- 37
Habari wadau. Ninampango wa kununua video camera, sasa naomba wadau mnaojua camera nzuri ya bei ndogo na inayotoa kazi nzuri, aina ya camera na ubora wake iwe mpya.
Nadhani itawasaidia sana wataalamu iwapo utawaelezea pia unataka kuitumia hiyo kamera kwa shughuli za biashara au kuiga picha za nyumbani tu
....kwa ajiri ya biashara zaidi....
ubora wa picha za camera hupimwa kwa kitu kinachoitwa mega pixels. kwa hiyo unaponunua camera yenye mega pixels nying zaid na ubora wa picha unaongezeka. kawaida camera nying zinaanzia mega pixels 6,8,10.11 na kuendelea. so ukiweza kununua yenye mega pixels nying kama 14 na kuendelea na bora zaidi. huo ndo msaada naoweza kukupa ndugu