ladypeace
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 935
- 506
Wana jf habali zenu natumaini mu wazima nakuja kwenu nikitambua vyema humu kuna maboss na waajiriwa wa makampuni ,serikali na mliiojiajiri kwa heshima naomba mnisaidie kupata kazi ninauzoefu wa miaka 4 kwenye kitengo cha customer care naombeni wadau msaada wenu tafadhali .wenu mtiifu lady peace.