nakuja ni habari ndefu sana. inafuraisha na ina sikitisha nani funzo pia hata kwa wengine.
umeona shida gani kuandika hiyo thread yako ukaimaliza? Au unafikiri humu kuna watoto wa chekechea leo unawafundisha 'a', kesho 'e', na keshokutwa hivyohivyo..
Hebu peleka hizo story zako za 'nitaendelea' magazetini hapa si mahala pake