jamani mie nataka kufanya CISCO Course(CCNA),lakini nina bachelor degree ya socail science(socilogy) na masters ya social science, ..hivi kama nikifanya hii CiSCO inaweza ikanisaidia kwenye kupata kazi kiurahisi..bila ya kuwa na background ya computer science..au ntakuwa napoteza mda wangu na hii couse..???Pls naombeni maoni yetu kwa wenye experince..tafadhali,thanx