combra
Senior Member
- May 28, 2012
- 130
- 31
mwenye data ya vyuo hivi hata kuhusu ada yao na kiasi cha mkopo walicho pangiwa na board ya mikopo naomba anisaidie kwa sim yangu ndogo haiwezi download pdf plz.vyuo vyenyewe ni _TIA,MUCOS,IAA,CBE DAR,UDOM,SAUT, naTUMAIN IRINGA,especial kwenye course ya procurement plz wadau nisaidieni.Nataka kujaza form ya TCU kipengeli cha ada na loan ndo kimenikwamisha.msada wenu nautegemea