Babkey
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 4,834
- 3,655
Ni hili, binafsi jibu silifahamu.
Jamaa alimkabidhi Mzee wake 50000/=
Baadae akaanza kuchukua kidogo kidogo.
Mchakato ulikuwa kama hivi;
50000/=
Alichotoa ~~~~kilichobaki
.................................................
20,000/= ~~~ 30,000/=
15,000/= ~~~15,000/=
9,000/= ~~~6,000/=
6000/= ~~~0000/=
..................... ....................
50,000/= ~‎~‎51,000/=
..................... .....................
Kwanini kuna tofauti kwenye jumla
na mzee alitoa pesa yotebila kubakiza!?
Jamaa alimkabidhi Mzee wake 50000/=
Baadae akaanza kuchukua kidogo kidogo.
Mchakato ulikuwa kama hivi;
50000/=
Alichotoa ~~~~kilichobaki
.................................................
20,000/= ~~~ 30,000/=
15,000/= ~~~15,000/=
9,000/= ~~~6,000/=
6000/= ~~~0000/=
..................... ....................
50,000/= ~‎~‎51,000/=
..................... .....................
Kwanini kuna tofauti kwenye jumla
na mzee alitoa pesa yotebila kubakiza!?