Recently mpenzi wangu kaniambia kwamba anataka kushift mapenzi yetu from lovers to just good friends, sikukubalianaa nae kabisa nikamwambia kama kweli ananipenda basi tuendelee kama tulivyokuwa, akasema bado ananipenda ila anataka tufahamiane vizuri zaidi, na kwa kuwa hatukuwahi kudumisha mila akasema itakuwa rahisi kuwa marafiki wa kawaida tu, kwa mawazo ya haraka nikahisi hanitaki tena, na inawezekana ameshaanza kuona mtu mwingine huko nje,inside my heart nimeshindwa kabisa kufanya hiyo transition ya from lovers to just friends, swali langu kwa wapendwa wanajamii should I beleave him, any advice