Wadau, nina tumia line ya tigo katika simu yangu Nokia X2-01 ambayo imetengenezwa china under licence lakini cha ajabu simu hii haikubali ku connect internet inaniambia Link not available. Nimeenda ofisi za tigo kadada kamoja kakasema eti simu yangu haikubali. Line zingine kama vodacom na airtel zinakubali bila shida
Msaada wenu wadau
Msaada wenu wadau