Haiombwi hivyo mkuuKaribu mchumba wangu........mi ni bonge la mchakarikaji lakini kwenye huendisamu sipo
Kashafeli
Karibu sana na tupe merital statusHabari zenu mabwana na mabibi, nimekuja jukwaani kushirikiana nanyi.
Nikaribisheni basi kwa bashashaa!
Akichinja Kuku au kukaanga mayai 6 usije kumlaumu,si umemwabia ajisikie kama yupo Nyumbani.karibu sana jisikie upo nyumbani.
Haitashangaza, baadhi ya ID zinazomkaribisha hapa, ni zake mwenyewe! Pia, inaweza ikawa, waalaaaa si MDADA!Kasahau password baada ya kujiunga
Hatari na nusuHaitashangaza, baadhi ya ID zinazomkaribisha hapa, ni zake mwenyewe! Pia, inaweza ikawa, waalaaaa si MDADA!