Tanzania Halisi
Member
- Jun 21, 2014
- 49
- 9
Mh Edward Ngoyai Lowassa ndiye candidate anayefaa kwa sasa kuipeperusha bendera ya CCM ktk kinyang'anyiro cha kugombea urais wa JMT.
Hao wanaojisumbua kwa kuhongwa vitiketi vya ndege kwenda Mbeya wenyewe wanajua kuwa moto wa Lowassa ni mkubwa.
Namuonya Mh Membe anayesaidiwa na nguvu ya Riziwani JK asahau kabisa kuhusu urais wa nchi hii, kama anataka urais aende kugombea urais wa wasafi classic....
Wapambe wa MEMBE wanaoongoza kumuibia Membe Pesa zake ni Mohammed Nyundo MNEC, Asenga Abubakar, Paul Makonda na Ally S. Happy...
Hawa wote wanajaribu kubuni miradi ya uongo ili wamuibie Mzee Membe pesa zake.....
MEMBE SHTUKA UNAIBIWA...
MWACHE LOWASSA ACHUKUE NCHI KUPITIA CCM ....
ENL TO IKULU 2015
Hao wanaojisumbua kwa kuhongwa vitiketi vya ndege kwenda Mbeya wenyewe wanajua kuwa moto wa Lowassa ni mkubwa.
Namuonya Mh Membe anayesaidiwa na nguvu ya Riziwani JK asahau kabisa kuhusu urais wa nchi hii, kama anataka urais aende kugombea urais wa wasafi classic....
Wapambe wa MEMBE wanaoongoza kumuibia Membe Pesa zake ni Mohammed Nyundo MNEC, Asenga Abubakar, Paul Makonda na Ally S. Happy...
Hawa wote wanajaribu kubuni miradi ya uongo ili wamuibie Mzee Membe pesa zake.....
MEMBE SHTUKA UNAIBIWA...
MWACHE LOWASSA ACHUKUE NCHI KUPITIA CCM ....
ENL TO IKULU 2015