vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
SIJUI nifanyeje.......
........he is ma men for more than 6 years.........................TUMEKUWA PAMOJA..........and kusema ukweli wa mungu mi mwanamke mvumilivu na ye mwenyewe anasema tulikua tunakorofishana sana lakini navumilia...ameshaniumiza sana navumilia..and one day nimemuuliza baba naona mda unaenda unamsimamo gani na mimi? akasema kama unaongea ndoa mimi sijaplan kuoa katika maisha yangu...nkamuuliza hujaplani kuoa au hujaplani kunioa mimi?akasem aye hajaplani kuoa.....
...ooooh nikajua labda ananitania maneno tuu mda unazidi kwenda....nau anakaa kwake....imagine mi nakaa home kule naenda tuu..jmamosi na juma2...lakini uwiiiii dah ni mwanaume mwenye manung'uniko sana and hapo i do everything..kodi nimempa half,mshara wangu ukiingia namnunulia nguo,viatu,chakula.na out namtoa na nauli y akazini nampa..... nkijua ukiingia wake itakua the same kwangu lakn..wake ukiingia....nimepata mshahara mdogo nimempa mama hivo sina hela siunajua wazazi wangu wamestaafu wadogo zangu shule ..hata ndani kwake sabuni tuu ya kuogea hanunui kilakitu mpaka mimi vyake makochi na kitanda tuu vingine vyote vyangu ama serious for this guys and am not stayin there......
JUZI KAJA HOME kwetu yani kwa wazazi wangu.... KANIKUTA NIKO NA RAFIKI ANGU yule friend akamuuliza vip shem ndoa lini yesu wangu alichomjibu ndo kinanifanya niandike hapa leo hii.....akamjibu rafiki ako hajakwambia mimi nimempa ukweli sioi..hvo akipata mwanmme huko mwenye nia aeende tuu mi simfichi kitu coz mi mzungu na he seemed serious anavyoongea hayo maneno....niliona aibu kwa kweli yule rafiki angu akasema mbele yak eeh mbona maneno makali mi nisingeweza kuvumilia...kaniuliza how can u? Kweli una moyo...RAFIKI ALIVYOONDOKA NIKAMUULIZA HIVI ULIMAANISHA YALE MANENO AKSEMa NOO NILISEMA TUU....sasa nkifikiria kashawahi niambia the same words si chini ya mara 3....
Nashindwa nifanyeje niendelee na maisha yangu au nifanyeje sio kama sitongozwi nakataa coz i know na mtu halafu mtu anakuvunja moyo hivi yani mi sijui nifanyeje coz tangu hiyo juzi am not in a gud condition coz nawaza those words.....na kila siku anvyorudia kwamab nikipata mtu niendee tuu nifanyeje guys...mimi jamani...
........he is ma men for more than 6 years.........................TUMEKUWA PAMOJA..........and kusema ukweli wa mungu mi mwanamke mvumilivu na ye mwenyewe anasema tulikua tunakorofishana sana lakini navumilia...ameshaniumiza sana navumilia..and one day nimemuuliza baba naona mda unaenda unamsimamo gani na mimi? akasema kama unaongea ndoa mimi sijaplan kuoa katika maisha yangu...nkamuuliza hujaplani kuoa au hujaplani kunioa mimi?akasem aye hajaplani kuoa.....
...ooooh nikajua labda ananitania maneno tuu mda unazidi kwenda....nau anakaa kwake....imagine mi nakaa home kule naenda tuu..jmamosi na juma2...lakini uwiiiii dah ni mwanaume mwenye manung'uniko sana and hapo i do everything..kodi nimempa half,mshara wangu ukiingia namnunulia nguo,viatu,chakula.na out namtoa na nauli y akazini nampa..... nkijua ukiingia wake itakua the same kwangu lakn..wake ukiingia....nimepata mshahara mdogo nimempa mama hivo sina hela siunajua wazazi wangu wamestaafu wadogo zangu shule ..hata ndani kwake sabuni tuu ya kuogea hanunui kilakitu mpaka mimi vyake makochi na kitanda tuu vingine vyote vyangu ama serious for this guys and am not stayin there......
JUZI KAJA HOME kwetu yani kwa wazazi wangu.... KANIKUTA NIKO NA RAFIKI ANGU yule friend akamuuliza vip shem ndoa lini yesu wangu alichomjibu ndo kinanifanya niandike hapa leo hii.....akamjibu rafiki ako hajakwambia mimi nimempa ukweli sioi..hvo akipata mwanmme huko mwenye nia aeende tuu mi simfichi kitu coz mi mzungu na he seemed serious anavyoongea hayo maneno....niliona aibu kwa kweli yule rafiki angu akasema mbele yak eeh mbona maneno makali mi nisingeweza kuvumilia...kaniuliza how can u? Kweli una moyo...RAFIKI ALIVYOONDOKA NIKAMUULIZA HIVI ULIMAANISHA YALE MANENO AKSEMa NOO NILISEMA TUU....sasa nkifikiria kashawahi niambia the same words si chini ya mara 3....
Nashindwa nifanyeje niendelee na maisha yangu au nifanyeje sio kama sitongozwi nakataa coz i know na mtu halafu mtu anakuvunja moyo hivi yani mi sijui nifanyeje coz tangu hiyo juzi am not in a gud condition coz nawaza those words.....na kila siku anvyorudia kwamab nikipata mtu niendee tuu nifanyeje guys...mimi jamani...