Complicator EM
Senior Member
- Dec 20, 2011
- 155
- 39
Baada ya kufika nyumbani nikitokea safari niliamua kumwandikia msg dada aliyenihudumiachakula kwenye kantini ya chuo kikuu fulani hapa tz. Msg yangu ilisomeka hivi
" Dada ninapenda kukufahamisha ya kuwa nimefika salama, ninashukuru sana kwa huduma yako, kwa kweli siku ile jioni nili-enjoy sana nikirudi huko sitaenda kwa mtu mwningine nitakutafuta wewe mwenyewe. Kwa kweli umenifurahisha sana"
YALIYONIKUTA BAADA YA MSG HIYO KUONWA NA MKE WANGU NI SIRI YANGU, Lkn yule mama naye kanipigia cm kasema kuna timbwili zito nyumbani kwake.
" Dada ninapenda kukufahamisha ya kuwa nimefika salama, ninashukuru sana kwa huduma yako, kwa kweli siku ile jioni nili-enjoy sana nikirudi huko sitaenda kwa mtu mwningine nitakutafuta wewe mwenyewe. Kwa kweli umenifurahisha sana"
YALIYONIKUTA BAADA YA MSG HIYO KUONWA NA MKE WANGU NI SIRI YANGU, Lkn yule mama naye kanipigia cm kasema kuna timbwili zito nyumbani kwake.