yangoma Member Sep 1, 2011 72 2 Sep 2, 2011 #1 Wan JF kwema haya hawa jamaa wameleta vibweka gani huko mtaani maana wanaongeza kasi ya umaarufu kwenye magazeti kwa vituko vyao nawasilisha
Wan JF kwema haya hawa jamaa wameleta vibweka gani huko mtaani maana wanaongeza kasi ya umaarufu kwenye magazeti kwa vituko vyao nawasilisha
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Sep 2, 2011 #2 hbu nenda globalpublishers.com...................kachukue umbea huko,kwanza bongo hakuna mastaa
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,043 10,692 Sep 2, 2011 #3 Aaah wapi,hawa wauza sura wa mjini?
NYENJENKURU JF-Expert Member Feb 11, 2011 1,063 288 Sep 2, 2011 #4 Star bongo au vilaza ktk usanii hawana lolote hao ni wauza sura tu na kutafuta umaarufu wa kuwa na vibaloon na viGX 100 BASI WANAJIONA MASTAR
Star bongo au vilaza ktk usanii hawana lolote hao ni wauza sura tu na kutafuta umaarufu wa kuwa na vibaloon na viGX 100 BASI WANAJIONA MASTAR
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Sep 2, 2011 #5 yangoma said: Wan JF kwema haya hawa jamaa wameleta vibweka gani huko mtaani maana wanaongeza kasi ya umaarufu kwenye magazeti kwa vituko vyao <br /> nawasilisha Click to expand... <br /> <br /> Ma star wapi mkuu?Bongo hakuna mastaa kuna wauza sura na wapenda sifa tu,hawana lolote shida tu.
yangoma said: Wan JF kwema haya hawa jamaa wameleta vibweka gani huko mtaani maana wanaongeza kasi ya umaarufu kwenye magazeti kwa vituko vyao <br /> nawasilisha Click to expand... <br /> <br /> Ma star wapi mkuu?Bongo hakuna mastaa kuna wauza sura na wapenda sifa tu,hawana lolote shida tu.
AshaDii Platinum Member Apr 16, 2011 16,190 18,078 Sep 2, 2011 #6 Yangoma ilitakiwa uwasilishe tukio moja then na sie tuendeleze....