Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Chapa lapa tulishakushauri,maana ulisema ulimwona anakukimbia ukaamua kumdai pesa zako,na baada ya hapo ukaendelea kumtunza kama kawaida, mi naona nyie tabia zenu haziendani ndio maana msichana anakukimbia, anza upya acha kulia wakati hamkufikia mbali sana tulia then utafute mwingie