Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
Kama mtakumbuka,miez michache iliyopita nilileta thread ya kuhusu mpenz wangu kubadilika huko chuon alipo moshi,sababu kubwa alisema ni kwa vile nilimdai pesa niliyomsaidia kulipa ada ingawa tulikubaliana nimuazime then atarudisha,na hiyo ilitokea baada ya kumuona amebadilika majibu yake kwenye simu na kusema yuko busy,sasa nimekuja moshi alipo lakin hatak kunionyesha anapokaa off campus na wala hakutaka kuongea na mm kwa kirefu akidai kuwa nimsubir akiwa likizo aongee na mama ake ndio aconclude,badae akaniambia its over ila tubak friends tu! Lakin marafik zangu na ndugu wanaomfaham wajue kama ameamua hivyo,nikajaribu kuulizia kwa rafik yangu ambaye ni mwalimu wake inaonekana kuna posibility ya kuwa amepata mtu,sasa je niendelee kumsikiliza anapokuwa na shida? Mana anaendelea kunitafuta akiwa na shida ila mapenz na mm hatak tena,