Makimuda255
Senior Member
- Jul 31, 2020
- 165
- 286
Nionyeshe couple moja ya Muhindi na Mwafrika hapa tz nami nikuonyeshe couple 1000 za Waarab na Waafrika.
Hii inaitwa "Nipe nikupe" nambie ushawahi kuona wapi ndoa, mahusiano, couple au machotara wa kihindi na waafrika yaani Mzazi mmoja mhindi na mwingine mbongo yaani mtz?
Sijawahi kuona ndoa ya muhindi na Mwafrika, au waliozaa watoto, au machotara wa kihindi hapa Tanzania tokea nizaliwe.
Ndoa ambazo nakutana nazo ni Waarab kwa waafrika au wazungu na Waafrika.
Waarab na waafrika nahisi ndo jamii wanaoana sana hapa tz katika kipengele cha Interacial marriage lakini Wahindi sasa!
Ushawahi kuona ndoa ya muhindi na mwafrika/Mbongo hapa tz? Lete evidence hapa, mm sijawahi kuona kabisa sababu ninini?
Hii inaitwa "Nipe nikupe" nambie ushawahi kuona wapi ndoa, mahusiano, couple au machotara wa kihindi na waafrika yaani Mzazi mmoja mhindi na mwingine mbongo yaani mtz?
Sijawahi kuona ndoa ya muhindi na Mwafrika, au waliozaa watoto, au machotara wa kihindi hapa Tanzania tokea nizaliwe.
Ndoa ambazo nakutana nazo ni Waarab kwa waafrika au wazungu na Waafrika.
Waarab na waafrika nahisi ndo jamii wanaoana sana hapa tz katika kipengele cha Interacial marriage lakini Wahindi sasa!
Ushawahi kuona ndoa ya muhindi na mwafrika/Mbongo hapa tz? Lete evidence hapa, mm sijawahi kuona kabisa sababu ninini?