Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Ongeza utafiti wako,,,,, eeeeeeeeeeh watu walio kwenye makampuni yanayolipa vizuri na wanaojiita kama sio kuitwa wasomi, CRDB, TRA, makampuni ya simu. Utajuwa tuu wanakotoka. Kuna kinywaji chao kinaitwa Mbege! We ukinywa tu hichi kinywaji lazima akili ije mazeee. Kama vp nikutumie kidumu kimoja kesho kwenye sai baba. Ila sharti ukipata kazi usinisahau!