Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,283
- 2,043
Wadau nawaomba kufahamu TOFAUTI ya MAANDAMANO anayofanya MAKONDA yakiwa na MISULULU ya Watembea kwa miguu bodoboda Bajaji na magari wakiwa na Bendera za CCM na yatakayofanywa na CHADEMA?
Naamini hata CHADEMA yatakuwa na Misululu ya Magari bajaji bodaboda na Watembea kwa Miguu?
Naamini hata CHADEMA yatakuwa na Misululu ya Magari bajaji bodaboda na Watembea kwa Miguu?