Nini tofauti kati ya muungano na shirikisho?

NGALLYA

Member
Aug 21, 2012
15
2
Jamani hebu tujadili na hili,katika rasimu ya katiba mpya inayopendekeza muundo wa serikali tatu kwa kuwa na "SHIRIKISHO" la bara na visiwani kwa kumaanisha kwamba Muungano wetu utaendelea kuwepo mimi naona si sahihi kwani kama tunahitaji muungano basi tuwe na serikali moja tu.Mantiki yangu ni kwamba,maneno yaliyotumika ambayo ni "JAMHURI YA MUUNGANO" kwa sasa na "SHIRIKISHO" kwa hii rasimu ni maneno yenye maana tofauti kwani MUUNGANO haina maana sawa na SHIRIKISHO hivyo basi ni maoni yangu kwamba rasimu hii ya katiba yenye muundo wa serikali 3 pamoja na watu wote wanaopendekeza hilo shirikisho naona wanatupotosha kwani endapo tutapata katiba itakayotamka "SHIRIKISHO" wao wanasiasa watakuja na tafsiri ya kisheria ambayo itaonesha maana sahihi ya SHIRIKISHO ambayo haipo sawa na maana halisi ya neno MUUNGANO.

"TUNAWEZA KUSHIRIKIANA KUPITIA SHIRIKISHO LA NCHI MBILI LAKINI TUSIUNGANE"

HIVYO BASI KAMA TUNAUHITAJI MUUNGANO TUWE NA SERIKALI MOJA YA MUUNGANO TU.AHSANTENI wazalendo watanzania wenzangu.
 
Huku zanzbr hatuna haja tena muungano wala shirikisho,tunahitaji zanzbr isimame wenyewe,kama watanganyika mna hamu na muungano nendeni kenya na ruwanda,tuachiwe tupumue,zanzbr kwanza.
 
Bobwe kumbuka hata cc hatuna shida na hicho kitu,tanganyika tuna ardhi ya kutosha kabisa na miundombinu mingine.
 
Huku zanzbr hatuna haja tena muungano wala shirikisho,tunahitaji zanzbr isimame wenyewe,kama watanganyika mna hamu na muungano nendeni kenya na ruwanda,tuachiwe tupumue,zanzbr kwanza.

Wazee wa tindikali
 
Hatuwataki Wazanzibar!Tunataka Tanganyika yetu!
Jamani hebu tujadili na hili,katika rasimu ya katiba mpya inayopendekeza muundo wa serikali tatu kwa kuwa na "SHIRIKISHO" la bara na visiwani kwa kumaanisha kwamba Muungano wetu utaendelea kuwepo mimi naona si sahihi kwani kama tunahitaji muungano basi tuwe na serikali moja tu.Mantiki yangu ni kwamba,maneno yaliyotumika ambayo ni "JAMHURI YA MUUNGANO" kwa sasa na "SHIRIKISHO" kwa hii rasimu ni maneno yenye maana tofauti kwani MUUNGANO haina maana sawa na SHIRIKISHO hivyo basi ni maoni yangu kwamba rasimu hii ya katiba yenye muundo wa serikali 3 pamoja na watu wote wanaopendekeza hilo shirikisho naona wanatupotosha kwani endapo tutapata katiba itakayotamka "SHIRIKISHO" wao wanasiasa watakuja na tafsiri ya kisheria ambayo itaonesha maana sahihi ya SHIRIKISHO ambayo haipo sawa na maana halisi ya neno MUUNGANO.

"TUNAWEZA KUSHIRIKIANA KUPITIA SHIRIKISHO LA NCHI MBILI LAKINI TUSIUNGANE"

HIVYO BASI KAMA TUNAUHITAJI MUUNGANO TUWE NA SERIKALI MOJA YA MUUNGANO TU.AHSANTENI wazalendo watanzania wenzangu.
 
Huku zanzbr hatuna haja tena muungano wala shirikisho,tunahitaji zanzbr isimame wenyewe,kama watanganyika mna hamu na muungano nendeni kenya na ruwanda,tuachiwe tupumue,zanzbr kwanza.

Well said. Hata mimi huku Tanganyika siuhitaji muungano. We have had enough from Zanzibar. No more please.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
mkuu naungana na wewe kikubwa hapa ni serikali moja kama mbili zinatupa shida hizo tatu tutaweza kwa hiyo ni vema tuwe na moja tu.
 
mkuu naungana na wewe kikubwa hapa ni serikali moja kama mbili zinatupa shida hizo tatu tutaweza kwa hiyo ni vema tuwe na moja tu.

Nyuki hawakumbatiwi,mukilazimisha ukoloni wenu kwa wazanzbr basi mujue tu hakuna amani mbeleni.
 
Shirikisho ni kama hili tulilonalo sasa. Muungano ni kama Tanganyika ilivyo waunganisha makabila yote na mchifu wao na kuwa na serikali moja kabla ya 1964.
 
Wazanzibar mwende zenu 2mechoka na ulalamishi wenu wa kila siku,tena pale kariakoo mlivojazana,hatutaki kuona m2 pale muumgano ukishafikia tamati!
 
wa zanzibar ni ndugu zetu. cha msingi tukubaliane kwa amani aina ya muungano tutakao. hakuna kshindi kwa hili.sisi sote ni ndugu watoto wa babu mmoja karume na nyerere
 
Back
Top Bottom