Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Baada ya kusikia wabunge wanalalamikia sheria mbaya ndipo nimejua kuwa kuna matatizo Bungeni! Kiasi cha Spika kuwakumbusha wabunge kuwa wao ndio watunga sheria wenyewe!
- Kukataliwa sheria ya usalama wa taifa
- Kupitishwa kwa sheria ya "Mbwembwe" na kuirudisha tena
- Sheria Madini ambayo inalalamikiwa
Na vituko vingine vya huko Bungeni miaka hii ya karibuni. Nina wasiwasi yawezekana tatizo letu la kiuongozi ni kubwa kweli kuliko tunavyofikiria ndio maana wabunge wachache wanaoonekana kufuatilia vitu kwa ukaribu wanaonekana ni mishumaa kati ya giza.
On the other hand.. yawezekana tatizo si la wabunge bali ni la serikali maana huko nyuma walikuwa wanapush sheria mbalimbali wakijua zitapiga kiulaini tu lakini sasa hivi mambo siyo hivyo tena kwa sababu wabunge wanasoma na hata wale wasiosoma sana wanafuatilia usomaji wa watu wengine na kupata mwanga wa nini cha kusimamia?
Kama tatizo ni serikali itakuwaje tena wakati serikali ndio ya chama hicho hicho chenye wabunge wengi?
- Kukataliwa sheria ya usalama wa taifa
- Kupitishwa kwa sheria ya "Mbwembwe" na kuirudisha tena
- Sheria Madini ambayo inalalamikiwa
Na vituko vingine vya huko Bungeni miaka hii ya karibuni. Nina wasiwasi yawezekana tatizo letu la kiuongozi ni kubwa kweli kuliko tunavyofikiria ndio maana wabunge wachache wanaoonekana kufuatilia vitu kwa ukaribu wanaonekana ni mishumaa kati ya giza.
On the other hand.. yawezekana tatizo si la wabunge bali ni la serikali maana huko nyuma walikuwa wanapush sheria mbalimbali wakijua zitapiga kiulaini tu lakini sasa hivi mambo siyo hivyo tena kwa sababu wabunge wanasoma na hata wale wasiosoma sana wanafuatilia usomaji wa watu wengine na kupata mwanga wa nini cha kusimamia?
Kama tatizo ni serikali itakuwaje tena wakati serikali ndio ya chama hicho hicho chenye wabunge wengi?