Unajua wao wanazani hatumfahamu wakati picha zimejaa kila kona!
Na hii inaonesha kuwa hawa polisi they dont care on what happened!
Ni unyama wa hali ya juu muuaji kuonyesha drama za aina hii
Hilo nalo neno! hivi unadhani askari yule konstebo, amepata wapi ujasiri wa kuua kwa staili ile kama siyo maagizo ya wakubwa zake? sasa ijulikane, lazima hawa polisi kuna kamchezo fulani wanataka kukacheza, kama kale walikocheza kwa Zombe, upo uwezekano huyo wanayemleta hapo mahakamani siyo muuaji mwenyewe, ndiyo maana hawataki apigwe picha, ili at the end of the day, siku ya hukumu, jaji aseme namwachia huru huyu jamaa, kwa kuwa ushahidi unaonyesha siku ya tukio huyu mtu hakuwepo kabisa nchini, alikuwa Darfur! Naomba mkajipange upya, mumlete muuaji wa Mwangosi!!Lazima wamkinge coz huyu ndiyo Mungu wa Kamuhanda, Mwema, Nchimbi na Watu wa Ikulu up to J. K kwa sasa coz order ya kuuwa ilitoka juu sasa hawa watekelezaji inabidi wamkinge huyu aliyefanikisha zoezi lote.
Ni mtu wao, lazima wamsitiri! Walimtuma kazi na ameikamilisha vizuri. Hiyo ni gheresha ya mashitaka tu
Hiyo muvi haina tofauti kabisa na ile ya Kova, na mkenya chizi, kuwa ndiye aliyemteka Dr Ulimboka, si mnakumbuka kwenye vyombo vya habari, hatukuwahi kuiona picha yake! si mnaona hiyo kesi ya mkenya wa Kova, namna ilivyokufa kimya kimya!!Alyepelekwa pale cye yeye mhuni flani tu alyejikatia tamaa na maisha
Watanzania ndio WADANGANYIKA WENYEWE! ni nani anahakika huyo anayefichwa ndio muuaji mwenyewe? Polisi wanajua wa TZ ni watu wa kelele za dakika chache then kimya! Mnaridhishwa kwa kuwekewa kanyaboya baadasya siku 3 kukitokea story nyingine kwishney! Hawa ndio wa TZ , watu wa kushobokea story na ikitokea nyingine wanaacha!!Heshima mbele wakuu. Nimeshangazwa na drama ya mapolis wa iringa pale mahakamani. Polis mwenzao walikuwa wamemzingira huku wakizuia asipigwe picha na waandishi wa habari. Hakika action walizokuwa wakizfanya mahakamani huwa zinaonekana katika sinema tena za Adolf Hitler tu.Tumemwona mkapa akienda mahakamani,na akapigwa picha (tena akitabasamu) tunawaona kila siku kina Basil Mramba,Mgonja na yule nani sijui mzee wa 'alex stewart' wote wanapigwa picha. Nini tafsiri ya polis kufanya sinema yote ile pale mahakamani? Najiuliza...