Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,333
Charminglady kuna suala nagusia kuna aina za ndoto,ndoto kutoka kwa Mungu ambayo anakupa direct information kama yusuph baba yake Yesu alipoambiwa ndotoni kuwa asimuache bikira maria,na nyingine aliota akaambiwa akimbilie misri etc,na kuna ndoto unapewa za ishara mf yusuph aliona nyota angani ktk ndoto na ilikuwa ikimaanisha atakuja kuwa mtu mkuu,
kuna jambo mnatakiwa kulijua kuwa Mungu aliahidi siku za mwisho atakuwa akiongea na wana wake kupitia ndoto na maono pia na unabii. Na pia sio kila mtumishi wa Mungu anaweza kutoa maana ya ndoto,u shuld ask holly spirit kwa ajili ya hiyo.Charminglady na wote ambao huwa mnaota na ukiamka unaikumbuka ndoto yako andika ktk notebook sawa sawa na joel 2,inasema andika chini maono(write down the vision so he may runneth he who readeth it ....)hii itakusaidia kujenga imani yako,kwa waliokaribu naweza nikawasaidia vitabu vitakavyowasaidia kuhusiana na ndoto kwa walio mza naweza wasaidia vitabu for u to study
kuna jambo mnatakiwa kulijua kuwa Mungu aliahidi siku za mwisho atakuwa akiongea na wana wake kupitia ndoto na maono pia na unabii. Na pia sio kila mtumishi wa Mungu anaweza kutoa maana ya ndoto,u shuld ask holly spirit kwa ajili ya hiyo.Charminglady na wote ambao huwa mnaota na ukiamka unaikumbuka ndoto yako andika ktk notebook sawa sawa na joel 2,inasema andika chini maono(write down the vision so he may runneth he who readeth it ....)hii itakusaidia kujenga imani yako,kwa waliokaribu naweza nikawasaidia vitabu vitakavyowasaidia kuhusiana na ndoto kwa walio mza naweza wasaidia vitabu for u to study
pole sana Smile, hata mie usiku wa kuamkia jana jumapili niliota nipo baharini tena wakati maji yanakupwa na kujaa thou sijawahi kushuhudia hiko kitendo. wakati maji yanakupwa nafurahi naenda kucheza kwenye mchanga yakijaa nayakimbia, mara naogelea lakini pia sizami. nimeshindwa kuelewa mpaka saivi. Chimbuvu na hapa je maana yake ni nini? MziziMkavu busara zako zahitajika tafadhali. . .
Last edited by a moderator: