Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,781
- 10,886
Albam iliosubiriwa kwa hamu ya Nguli wa Hip Hop Kendrick Lamar imetoka rasmi na kuzua gumzo kubwa miongoni mwa mashabiki wa Hip Hop dunia
Kwa ufuatiliaji wangu mdogo nimeona watu wengi sana ni kama wamekua disappointed na album hii..... yaani hawajakuta kile walichokua wanakitarajia vichwani mwao
Wengi wanaona Kdot kacheza chini ya viwango vyake
Binafsi Nimeipenda na kuielewa sana haswa kwenye upande wa maturity, lyrics na flow
Dunia inakwenda kasi sana tatizo kubwa ninalo liona hapa ni wasikilizaji wa kizazi cha sasa wanaangalia zaidi beat na lyrics ambazo ni rahisi ku digest
Katika Album hii Kendrick anaonyesha ukomavu na theme ya album kwa kiasi kikubwa kwa mara ya kwanza ime base zaidi na personal experience za maisha yake binafsi so ili kuielewa inabidi uangalie zaidi lyrics na delivery
Kama utataka beat kali kama za akina Drake basi hakika utakua miongoni mwa watakao ona Lamar kacheza chini ya kiwango
Naipa Album 9/10
Toa maoni na rate zako
Ili kuipakua album hii pitia hapa
Telegram J.cole & kendrick Lamar Updates™
Kwa ufuatiliaji wangu mdogo nimeona watu wengi sana ni kama wamekua disappointed na album hii..... yaani hawajakuta kile walichokua wanakitarajia vichwani mwao
Wengi wanaona Kdot kacheza chini ya viwango vyake
Binafsi Nimeipenda na kuielewa sana haswa kwenye upande wa maturity, lyrics na flow
Dunia inakwenda kasi sana tatizo kubwa ninalo liona hapa ni wasikilizaji wa kizazi cha sasa wanaangalia zaidi beat na lyrics ambazo ni rahisi ku digest
Katika Album hii Kendrick anaonyesha ukomavu na theme ya album kwa kiasi kikubwa kwa mara ya kwanza ime base zaidi na personal experience za maisha yake binafsi so ili kuielewa inabidi uangalie zaidi lyrics na delivery
Kama utataka beat kali kama za akina Drake basi hakika utakua miongoni mwa watakao ona Lamar kacheza chini ya kiwango
Naipa Album 9/10
Toa maoni na rate zako
Ili kuipakua album hii pitia hapa
Telegram J.cole & kendrick Lamar Updates™