Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,860
My sweet heart alipewa kadi ya kwenda kwenye kibao kata, kibao kata kinafanyika leo kule ilala. Mimi ndiye niliyeipokea hiyo kadi siku ya jumatatu.
Kwa ufahamu wangu mdogo wa mambo ya kike nikajua kuwa hiyo ni kitchen party, cha ajabu ni kwamba leo imekuja kadi nyingine ya harusi hiyohiyo ikimualika kwenye kichen pati.
Waungwana naomba msaada wenu, nitofautishieni kati ya kichen pati na kibao kata.
Kwa ufahamu wangu mdogo wa mambo ya kike nikajua kuwa hiyo ni kitchen party, cha ajabu ni kwamba leo imekuja kadi nyingine ya harusi hiyohiyo ikimualika kwenye kichen pati.
Waungwana naomba msaada wenu, nitofautishieni kati ya kichen pati na kibao kata.