Nini maana halisi ya kujiuzulu?

Gerald Robert

JF-Expert Member
Jan 2, 2013
337
219
Dhana ya kisheria ya kujiuzulu ni kukaa pembeni – huwezi kujiuzulu nafasi fulani halafu unarudi kuigombea nafasi hiyo hiyo – hii ni aina mpya ya ufisadi na ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma ambao umevishwa koti la sheria na demokrasia.

sasa ndo naanza kumuelewa Trump

#shit_hole
 
565714819e580c0cd39a6b5d14d46e83.png
 
Back
Top Bottom