Kuna kila dalili kuwa huenda moto ulianzia tunisa ,ukasambaratisha tawala kadhaha za mataifa ya kiarabu kama Misri ,Jordan na hata Syria.Inawekna mataifa ya magharibi yakasherehekea kuwa huo ni ushindi wa DEMOKRASIA YAO!Lakini wasijeshangaa baada ya uchaguzi watakao shinda wakawa ni wale wenye msimamo mkali wa kidini na hapo dunia ya kiliberali itakuwa imeruka haja ndogo na kukanyaga HAJA KUBWA ....TUTAFAKAFRI!