Nini kitatokea endapo itabainika Manji ni mtumia Dawa za Kulevya?

Heavy equipment

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
1,446
977
Habari,

Kwa maelezo aliyotoa mchungaji gwajimaa alisema alichukuliwa sampuli ya mkojo na damu vikapimwa majibu yakatoka mazuri na akaachiwa ingawa kuna mambo mengine yanaendelea ya kiupelelezi.

Sasa ikiwa vipimo vya mkojo na damu vikionyesha manji anatumia hayo madawa ya kulevya nini kitafuatia?

Kwa watu wa sheria watusaidie hapa!
 
Habari,

Kwa maelezo aliyotoa mchungaji gwajimaa alisema alichukuliwa sampuli ya mkojo na damu vikapimwa majibu yakatoka mazuri na akaachiwa ingawa kuna mambo mengine yanaendelea ya kiupelelezi.

Sasa ikiwa vipimo vya mkojo na damu vikionyesha manji anatumia hayo madawa ya kulevya nini kitafuatia?

Kwa watu wa sheria watusaidie hapa!
Nadhani hakuna sheria against watumiaji- kukukuta na traces za dawa kwenye mkojo, damu etc! Sheria inaongelea kukutwa nazo........... ???????
 
Habari,

Kwa maelezo aliyotoa mchungaji gwajimaa alisema alichukuliwa sampuli ya mkojo na damu vikapimwa majibu yakatoka mazuri na akaachiwa ingawa kuna mambo mengine yanaendelea ya kiupelelezi.

Sasa ikiwa vipimo vya mkojo na damu vikionyesha manji anatumia hayo madawa ya kulevya nini kitafuatia?

Kwa watu wa sheria watusaidie hapa!
Kitakachofuata ni heshima yake kupungua kwenye jamii
 
FALSE NEGATIVE RESULTS OF COCAINE TESTS
There are times when false negative results are received. There are many reasons why this would happen. Too much intake of water and the utilization of detox kits are some of the reasons.

FALSE POSITIVE RESULTS OF COCAINE TESTS
It has been reported that some drugs like lidocaine and amoxicillin can cause false-positive results in a cocaine test. Aside from that, intake of too much coffee, kidney and liver infection, diabetes and tonic water can alter the results, as well
 
FALSE NEGATIVE RESULTS OF COCAINE TESTS
There are times when false negative results are received. There are many reasons why this would happen. Too much intake of water and the utilization of detox kits are some of the reasons.

FALSE POSITIVE RESULTS OF COCAINE TESTS
It has been reported that some drugs like lidocaine and amoxicillin can cause false-positive results in a cocaine test. Aside from that, intake of too much coffee, kidney and liver infection, diabetes and tonic water can alter the results, as well
Clear
 
Nina mashaka huyo Manji atakuwa anatumia hayo madawa, ndio maana juzi kipindi cha mada moto channel10 Jerry Muro alikuwa anang'ang'ania wana yanga wawe watulivu mpaka taarifa rasmi ya serekali kuhusu Manji itoke ndio wao kama timu wajue hatua za kuchukua. Lakini ukiangalia body languaje yake ni kama anasema mtu wetu ni mtata, tukiingiza timu kumtetea itaachia team nzima na doa la kudumu. Hapa alikuwa kama majibu mabaya yakipatikana ambayo ni dhahiri basi busara itumike kwa ajili ya brand.
 
Mm nasubiri leo Magufuli aongee tu, najua Manji sampuli zake za damu zimekutwa Positive, sasa ni juu yake kuwapigia magoti serikali isimtangaze hadharani, maana itamchafua zaidi, ila najua JPM kwa kupenda sifa atamtupia dongo leo,

Kiukweli, Manji anatumia ngada, hili wala halina ubishi, sasa ni Busara tu itumike kutokutangaza majibu ya vipimo vyake maana vya mwenzake tyr vipo safi

Sasa nadhani hata hao mawakili wake wamepoteana sasa, na wale wa uingereza nadhani wamisharudi kwao.
 
Anatakiwa kupata tiba Rehab
Kama anaweza kujisimamia anaweza kufanya mwenyewe kwa uangaliI wa mtu mahsusi
 
Atapelekwa sober na kuambiwa awe anaripoti polisi mara mbili kwa mwaka kama kina chid benzi.
 
Ikibainika ameathirika na mihadarati atapelekwa tu Mwananyamala kuanza dozi ya Methadone.Hamna kesi.
 
Habari,

Kwa maelezo aliyotoa mchungaji gwajimaa alisema alichukuliwa sampuli ya mkojo na damu vikapimwa majibu yakatoka mazuri na akaachiwa ingawa kuna mambo mengine yanaendelea ya kiupelelezi.

Sasa ikiwa vipimo vya mkojo na damu vikionyesha manji anatumia hayo madawa ya kulevya nini kitafuatia?

Kwa watu wa sheria watusaidie hapa!
Kisheria hakuna chochote wanaweza kumfanya. On the other side, maybe reputation. Ninaamini angeweza kugoma kupimwa, na sijui wangemlazimisha vipi. Maana grounds za yeye kupimwa ni zipi? Mi naona ni kama wamemdhalilisha tu.
 
Kitendo cha Manji kuita waandishi na kumtisha Makonda huku akifoka kwa waliosomea police science na criminolgy,hawawezi kumuachia hivi hivi.leo au kesho tutapata mshtuko mkubwa sana kama wapenda michezo

Washauri wake sio wazuri, najaribu kufikiri hivo, otherwise awe yy ndo aling'ang'ania kusema aliyosema! Labda ali refer kwa rosti tamu alipotema cheche wakati wa awamu ya bwana yule, alichokosea hakuangalia effect ya time!!!! Aliiweka time constant, hapo ndo shida ilipoanzia!!!
 
TID wamemfanyaje? Na Jana alienda kumsabahi RC nyumbani kwake kiroho safi.
 
Back
Top Bottom