Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,931
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtia hatiani msanii Agnes Gerald, maarufu Masogange kwa kosa la kutuma dawa za kulevya aina ya Heroin (DiacetyImophine).
Hukumu bado haijasomwa.
======
UPDATES;
=> Agnes Gerald ahukumiwa Miaka mitatu jela au Faini ya Milioni moja na nusu kwa makosa mawili ya Madawa ya kulevya. Kosa la kwanza ni kutumia dawa za kulevya aina ya heroine, na la pili kutumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam. Ameachiwa huru mara baada ya kulipa faini ya Sh milioni 1.5.
=> Masogange alikamatwa na Polisi baadae, Jeshi la polisi lilikabidhi sampuli kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuthibitisha kama mlimbwende huyo anatumia dawa za kulevya au la.
=> Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru msanii Agnes Gerald(Masogange) baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 1.5
======
Mfululizo wa kukamatwa, kesi, hukumu na kuachiwa huru kwa Agnes Masogange kwenye kesi ya Madawa ya kulevya
- Mahakama yatoa hati Masogange asakwe na akamatwe
- Masogange akamatwa kwa tuhuma za kuhusika na Dawa za Kulevya
- Mwakyembe: Awamu iliyopita aliyetuwezesha kukamata 99% ya madawa ya kulevya aliishia jela
- Jeshi la polisi Tanzania laamua kumfuata Agness Masogange Afrika Kusini...!!
- Polisi aeleza alivyohangaika na Masogange
- Kamanda Sirro: Mbowe jisalimishe Polisi; Masogange, Chid Mapenzi, Wallis Nasher tumewakuta na madawa
Kupandishwa kizimbani na kusomewa shitaka
Yaliyojili wakati wa kesi ya Masogange
- Mwakyembe aagiza wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wakamatwe!
- Masogange awataja wamiliki wa mzigo aliokamatwa nao SA
- Hatimaye Masogange amtaja aliye mtuma mzigo wa dawa za kulevya
- Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!
- Mahakama yashindwa kusoma kesi ya Masogange; adaiwa kuwa mgonjwa
- Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!
- Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi
- Kesi ya Masogange yakwama kusikilizwa tena
- Kisutu: Korti yakataa vielelezo vya ushahidi kesi ya Wema Sepetu. Masogange akutwa na kesi ya kujibu
- Muendelezo Vita Dawa ya Kulevya: Masogange apelekwa kwa Mkemia Mk
- Mahakama yakubali kuutumia mkojo wa Masogange, yasema fomu za mkemia zilifata sheria
- Sampuli ya mkojo wa Agness Masogange wakutwa na Heroin
Hukumu
Visa vya watu maarufu wengine waliowahi kutuhumiwa au kukamatwa na madawa ya kulevya