Nini kipo nyuma ya Rais Samia kusimangwa hivi?

Tujikumbushe pia wafuatao;
1.Saed kubenea - tindikali
2.Dr ulimboka - kuteswa kung'olewa meno kwa prize na kutupwa pori la pande.
3. Ndimara Tegambwage - kukatwa mapanga baada ya kuvamiwa ofisi za mwanahalisi.
4. Dr. Silaa - Kupewa mvinyo uliotobolewa chini na kutegeshewa jukwaa hadi kuanguka.
5. Wana Arusha - kutekelezwa kwa ukumbi wa AICC na kujengwa JNICC ili kuwakomoa wana arusha.
6. Absalom Kibanda - kutekwa, kupigwa na kuharibiwa jicho.
7. Neville Meena - kutishiwa kifo.
8. Daudi mwangosi - kupigwa na kisha kufumuliwa utumbo.
9. Sheikh Ponda - kutandikwa risasi ya begani na kutiwa ndani.
10. Mauaji ya wanachama wa chadema arusha.
NB: Haya yalitokea kati ya 2005 hadi 2014
Mara elfu mia kuliko lile uaji
 
You have said it all! Ni rais wa kikatiba na anajaribu kuilinda katiba kwa kutoa uhuru wa habari na ana kila dalili za kuruhusu mjadala wa katiba na mwisho katiba mpya kupatikana.
Uhuru gani wa Habari, maoni? Muulize Ndugai. Ana uwezo wa kutoa katiba ikiwa hata uwezo, uwiano, teuzi / tenguzi zake haziko fair kwa Znz na Tanganyika.

You are very naive.
 
Ndio Tanzania tunayoitaka,watu wawe huru kutoa mawazo yao(wasitukane),bila kutumiwa wasiojulikana.Mawazo ya kujenga yanafanyiwa kazi na yasiyofaa yanapuuzwa.
 
Mama yenu badala ya kutupa hope on what she can do to solve these problems instead tunaambiwa na bado as if kuna kosa tumefanya and we are paying for the mistakes. The mistakes of embracing maccm na mafisadi wake..

Mambo yote muhimu yupo kimya. Panya road, Mto Mara, Mbolea, Masoko kuungua,ajali, bei ya mafuta, Chakula, ujenzi. Unafikiri Hussein Mwinyi angekuwa kimya.
 
Hata magufuri tulikuwa tunamsimanga na tulimchukia kwelikweli ishu ni kuwa tulikuwa tunamsimanga kimoyomoyo..mama wa watu hana noma kabisaaa
 
Katika hali isiyo ya kawaida kwa mara ya kwanza tumepata Rais wa kikatiba, yaani hajapigiwa kura wala kushindanishwa.

Ilizoeleka miaka kenda Rais lazima afanye kampeni, ashindane na wapinzani wake hali iliyokuwa inapelekea chuki, fitna, malumbano na hata umwagaji damu kati ya makundi hasimu.

Hii hupelekea hata baada ya uchaguzi kuwepo na visa vya hapa na pale ikiwemo chuki. Lakini katika hali hiyo hiyo inasikitisha namna Rais wetu alivyotoka haraka kwenye mioyo ya wananchi wengi, sio wote ila wengi.

Angekuwa kashindanishwa basi tungesema labda wapinzani wake hawakuridhishwa na matokeo na pengine alifanya kampeni chafu.

Sasa kuchokwa huku haraka chanzo inaweza kuwa ni nini?
Wa kupenda kupapaswa vs kupapasa.

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Katika hali isiyo ya kawaida kwa mara ya kwanza tumepata Rais wa kikatiba, yaani hajapigiwa kura wala kushindanishwa.

Ilizoeleka miaka kenda Rais lazima afanye kampeni, ashindane na wapinzani wake hali iliyokuwa inapelekea chuki, fitna, malumbano na hata umwagaji damu kati ya makundi hasimu.

Hii hupelekea hata baada ya uchaguzi kuwepo na visa vya hapa na pale ikiwemo chuki. Lakini katika hali hiyo hiyo inasikitisha namna Rais wetu alivyotoka haraka kwenye mioyo ya wananchi wengi, sio wote ila wengi.

Angekuwa kashindanishwa basi tungesema labda wapinzani wake hawakuridhishwa na matokeo na pengine alifanya kampeni chafu.

Sasa kuchokwa huku haraka chanzo inaweza kuwa ni nini?
Mi nataka niweke jibu la kinadharia msiliamini sana;

Labda tuna tatizo la kisaikolojia tatizo linalotokana na maumbile ambayo hatujui kama labda ni bahati mbaya. Mfano kitu kidogo tu kama picha ya rais, hasa macho yake ukiangalia imekaa kama anawaangalia wananchi kwa chini hivi yaani kama amewadogosha hivi [anatuonaje yani!]. Ni theory tu mazee msisahau....

Sasa kinachotokea inakuwa ni kama retaliation ya wananchi kutaka kujionesha na wao ni wakubwa sio wadogo. Basi ndo wanaanza kutaka na wao kumpangia rais cha kufanya. Na yeye hataki mumpangie kwa maana ye ndio raisi. Tunapata a complex of inferiority complexes basi ni vurugu tu.

Ushauri: Tuanze kwa kubadilisha picha ya raisi🤦‍♂️🤦‍♂️. Au tufanye plastic surgery mnaonaje. Naomba mnikosoe mazee niachane na hii nadharia ya 'kijinga'
RaisSSH.jpeg
 
Tujikumbushe pia wafuatao;
1.Saed kubenea - tindikali
2.Dr ulimboka - kuteswa kung'olewa meno kwa prize na kutupwa pori la pande.
3. Ndimara Tegambwage - kukatwa mapanga baada ya kuvamiwa ofisi za mwanahalisi.
4. Dr. Silaa - Kupewa mvinyo uliotobolewa chini na kutegeshewa jukwaa hadi kuanguka.
5. Wana Arusha - kutekelezwa kwa ukumbi wa AICC na kujengwa JNICC ili kuwakomoa wana arusha.
6. Absalom Kibanda - kutekwa, kupigwa na kuharibiwa jicho.
7. Neville Meena - kutishiwa kifo.
8. Daudi mwangosi - kupigwa na kisha kufumuliwa utumbo.
9. Sheikh Ponda - kutandikwa risasi ya begani na kutiwa ndani.
10. Mauaji ya wanachama wa chadema arusha.
NB: Haya yalitokea kati ya 2005 hadi 2014

mauwaji ya albino kwa wingi awamu ya 4
 
Katika hali isiyo ya kawaida kwa mara ya kwanza tumepata Rais wa kikatiba, yaani hajapigiwa kura wala kushindanishwa.

Ilizoeleka miaka kenda Rais lazima afanye kampeni, ashindane na wapinzani wake hali iliyokuwa inapelekea chuki, fitna, malumbano na hata umwagaji damu kati ya makundi hasimu.

Hii hupelekea hata baada ya uchaguzi kuwepo na visa vya hapa na pale ikiwemo chuki. Lakini katika hali hiyo hiyo inasikitisha namna Rais wetu alivyotoka haraka kwenye mioyo ya wananchi wengi, sio wote ila wengi.

Angekuwa kashindanishwa basi tungesema labda wapinzani wake hawakuridhishwa na matokeo na pengine alifanya kampeni chafu.

Sasa kuchokwa huku haraka chanzo inaweza kuwa ni nini?
Jibu ni rahisi tu Brother nchi imekengeuka maono ya Muasisi, mimi tangu nikiwa mtoto niliambiwa Mwl. Nyerere ameonya kuwa makabila 4 yaani Wachaga, wasukuma, wanyakyusa na wahaya hawafai kuongoza kamwe wasipewe urais. Nakili sina hakika kama ilikuwa kweli maana sikuwahi msikia live au kuona maandishi. Lakini hiki kinachoendelea hivi sasa kwa ndugu zetu wasukuma a.k.a Sukuma genge, yaani kudai haki ya nchi kuendelea kuongozwa na mfu (Mwendazake) kinadhihiri hayo yanayosemekana kama maono ya Muasisi wetu. Nahisi asingekufa wasingekubali atoke madarakani.
 
Back
Top Bottom