Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,738
- 13,106
Mara elfu mia kuliko lile uajiTujikumbushe pia wafuatao;
1.Saed kubenea - tindikali
2.Dr ulimboka - kuteswa kung'olewa meno kwa prize na kutupwa pori la pande.
3. Ndimara Tegambwage - kukatwa mapanga baada ya kuvamiwa ofisi za mwanahalisi.
4. Dr. Silaa - Kupewa mvinyo uliotobolewa chini na kutegeshewa jukwaa hadi kuanguka.
5. Wana Arusha - kutekelezwa kwa ukumbi wa AICC na kujengwa JNICC ili kuwakomoa wana arusha.
6. Absalom Kibanda - kutekwa, kupigwa na kuharibiwa jicho.
7. Neville Meena - kutishiwa kifo.
8. Daudi mwangosi - kupigwa na kisha kufumuliwa utumbo.
9. Sheikh Ponda - kutandikwa risasi ya begani na kutiwa ndani.
10. Mauaji ya wanachama wa chadema arusha.
NB: Haya yalitokea kati ya 2005 hadi 2014