Noname
JF-Expert Member
- Feb 8, 2010
- 1,269
- 28
unaweza ukawa nae 1 na bado likaanguka kuliko la mwenye wa 2-3...inategemea na umbile la mtu..kama mwanaume alikuta chuchu saa 6 abaada ya uzazi zikabadilika bac anatakiwa na yeye ayakubali hayo mabadiliko mana umemletea kiumbe duniani na mabadiliko ya hapa na pale ni muhimu, yaani ni ishu ya mwanaume kulitambua/kulielewa hilo kabisaa....
agree with u... but my point was that there is reason kwanini wanawake wanataka kuwa na chuchu za saa 6 forever... nasababu ni wanaume na media... Media is drifting us away from the truth...men wishes they have their own Beyonce or Kim Kardashian and women are working hard to fulfill their men's dreams... so u cant blame women only... ila maneno yako ni 100% correct...