It is natural... kama unataka nyonyesha kisha kafanye breast surgery.kuzuia matiti yasianguke baada ya kunyonyesha.....????:confused2:
kuzuia matiti yasianguke baada ya kunyonyesha.....????:confused2:
kuzuia matiti yasianguke baada ya kunyonyesha.....????:confused2:
Kuanguka una maanisha nini??
kuzuia matiti yasianguke baada ya kunyonyesha.....????:confused2:
Hakikisha kuwa matiti iwe ni haki ya mtoto pekee, sema "Hell no" kwa Baba ntoto!.kuzuia matiti yasianguke baada ya kunyonyesha.....????:confused2:
Unscientific. Kwani baba mtoto ndiye anafanya matiti yaanguke? Fanya uchaguzi. Ama ubaki na matiti yaliyo"simama" au uwe mama na matokeo yake lazima ni soksi.Hakikisha kuwa matiti iwe ni haki ya mtoto pekee, sema "Hell no" kwa Baba ntoto!.
It is natural... kama unataka nyonyesha kisha kafanye breast surgery.
kuzuia matiti yasianguke baada ya kunyonyesha.....????:confused2:
Carmel kwani kanga ina tatizo gani mpendwa?cant people be proud to who they are? hell no to boob job jamani lol. cha msingi invest in very good bras na a bit expensive na position ya kunyonyesha na namna unavolala , usiyalalie vibaya na avoid kuvaa khanga kifuani.
Kina mama wengi wanapokuwa nyumbani huwa hawapendi kuvaa bra (ni mchosho mara nyingine kila saa umebanwa!)
Angalizo: wakati unanyonyesha, matiti huwa yanalemewa na hivyo ni muhimu muda wote uyavishe bra ili kutia support. Hii husaidia sana anguko lisiwe la kutisha. Otherwise...surgery