atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,292
- 9,390
Yesu ndio nani mkuu?NI YESU TU
Yesu ndio nani mkuu?NI YESU TU
Hapa tunawaweka na wazee wa kubetNi maamuzi tu ya anaejielewa
Kama akipiga hesabu kwa mwaka ametumia ngapi kwa pombe na akaiona hesabu hiyo akaendelea kunywa basi huyo sio mzima ni katika wale wehu wanaovaa nguo safi
HahaahhahPombe mbona unaacha fresh tu, kuna hii kitu ya "Vipi DJ haupigi hewani na unasikiliza ghetto, demu wako chumbani hizi vocals zampigiaaa....." Aisee hiyo kitu ni mbaya sana!
Hongera sana na usipotezee hii balancemimi nakunywa na sina stress kabisa...kuanzia ndoa,familia na hata vijisenti vya kubadilisha mboga sio haba sana...ila sasa kuanzia ijumaa jioni mpaka jumamosi saa6 ni pombe na mimi-never miss.
nakunywa weekend tuuuu...weekdays sipendi hangover kibaruani
HahahaNilipata mpenzi mpya akaniuliza ili uache pombe unataka nikufanyie nini?
chakorii:nikamjibu naomba muda wako.
Mpenzi mpya:.akasema umepata.hakuna lingine?
Chakorii:nikasema hapana sina kingine
Mpenzi mpya: ok
Chakorii:kweli bhana akitoka kazini basi hunipatia muda wake asilimia buku mpaka sasa ninajikuta ndie Rafiki yangu mkubwa sana..nimeachana na groups zote kupitia yeye.Najua kuna watakaojiuliza kwanini sijataka pesandugu mtanzania mwenzangu pesa zinapatikana ndani ya muda wake alionipatiasijui mnanielewa lakini…
AhhahahahahahhaBaba yangu mdogo aliacha 100%. Ni siku aliyolewa kupitiliza kwenye jumuiko la ukoo, akachukua mfuniko wa ndoo na kuufanya usukani akawa analiendesha pale kati ya watu kwa kutumia makalio. Mwaka wa kumi huu hanywi kilevi chochote..
Kuna Hawa madaktari Huwa wanalogwa au😀😀😀Rehabilitation.
Huwa inafanya kazi. Kwa sababu mara nyingi anayekunywa pombe kupitiliza huwa kuna hali fulani anaipitia kwenye maisha na hata hiyo hali ikipita anakuwa anashindwa tena kurudi kawaida.
Kuna huyu mmoja yeye alikuwa anakaa hata wiki hajanywa ila siku ukiona anakunywa, ndio amefungulia hata mwezi mzima ni kunywa tu na kuzunguka kama nini sijui. Mkisema kesho ataamka vizuri kesho anaendelea.
Tangu atoke sober house ana mwaka na zaidi hajagusa pombe.
Kwahiyo nikipata mlevi nikimpa mda ataacha 😀Nilipata mpenzi mpya akaniuliza ili uache pombe unataka nikufanyie nini?
chakorii:nikamjibu naomba muda wako.
Mpenzi mpya:.akasema umepata.hakuna lingine?
Chakorii:nikasema hapana sina kingine
Mpenzi mpya: ok
Chakorii:kweli bhana akitoka kazini basi hunipatia muda wake asilimia buku mpaka sasa ninajikuta ndie Rafiki yangu mkubwa sana..nimeachana na groups zote kupitia yeye.Najua kuna watakaojiuliza kwanini sijataka pesa😃😃ndugu mtanzania mwenzangu pesa zinapatikana ndani ya muda wake alionipatia😁😁sijui mnanielewa lakini…😉
Alafu akiondoka unarudi kua Liquid ChiiNilipata mpenzi mpya akaniuliza ili uache pombe unataka nikufanyie nini?
chakorii:nikamjibu naomba muda wako.
Mpenzi mpya:.akasema umepata.hakuna lingine?
Chakorii:nikasema hapana sina kingine
Mpenzi mpya: ok
Chakorii:kweli bhana akitoka kazini basi hunipatia muda wake asilimia buku mpaka sasa ninajikuta ndie Rafiki yangu mkubwa sana..nimeachana na groups zote kupitia yeye.Najua kuna watakaojiuliza kwanini sijataka pesa😃😃ndugu mtanzania mwenzangu pesa zinapatikana ndani ya muda wake alionipatia😁😁sijui mnanielewa lakini…😉
Muda na Pesa yeye kasema sio Muda tu alimpa na Pesa ili aache tungi, kwa hio akiingia mitini atarudi kubugia Jack DanielsKwahiyo nikipata mlevi nikimpa mda ataacha 😀
Uamuzi tu, hakuna kingine.Kuna watu sasa ulevi umesha affect maisha yao socially, spiritually, afya na economically.
Yani kuna watu hawanywi kwa ajili ya msisimuko ila wanazama ndani ya pool ya pombe.
Hebu saidia watu humu steps ulizotumia au jamaa yako alizotumia hadi kuacha uraibu mbaya wa ulevi.
Hiyo kwanza ni addiction zaidi ya pombe na ulevi wowoteHapa tunawaweka na wazee wa kubet
AmenMImi binafsi niliacha pombe baada ya kumpokea Yesu Kristo, kwa aina ya ulevi niliyokuwa nao pengine nisingekuwa hai leo hii,
kwa kweli haya mambo ni balaaaHiyo kwanza ni addiction zaidi ya pombe na ulevi wowote
Huwezi amini Ulaya zimeandikwa kabisa kwenye mashine zote na makampuni yote kuwa ni mbaya kwa afya yako na ukiona imekuzidi nguvu tafuta ushauri nasaha
Kwa kweli kamari ni mbaya sana
Kweli.Watu wengi wanakunywa pombe sababu ya loneliness na depression iliyotokana na trauma walizopitia
Binadamu wanapigana vita nyingi ndani ya mioyo yao
Halafu wafanyabiashara hiyo ndio wanapata faida kubwa sana kupita kiasikwa kweli haya mambo ni balaaa