BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Kama utamaduni tuna embassies katika nchi nyingi. Na nje ya Balozi kunakuwa na Balozi mdogo, Councillor na office staff. Binafsi sijui hasa hawa mabalozi huwa wanafanyaga nini? Hivi baada ya kumaliza muda wao huwa wanafanyiwa performance review?.
Maana yake huwa tunasikiaga kwenye vyombo vya habari wakati wameteuliwa kisha hatuwasikii tena mpaka wakiwa wamemaliza muda wao.
Mimi nina shida kidogo, lazima kwanza wenyewe wawe na tabia ya kujisuta - self appraisal, kwamba nimekaa huu muda JE HAVE I ARCHIVED? Nina wasiwasi hawa ni ma DC wetu wa nga'mbo!
Maana yake huwa tunasikiaga kwenye vyombo vya habari wakati wameteuliwa kisha hatuwasikii tena mpaka wakiwa wamemaliza muda wao.
Mimi nina shida kidogo, lazima kwanza wenyewe wawe na tabia ya kujisuta - self appraisal, kwamba nimekaa huu muda JE HAVE I ARCHIVED? Nina wasiwasi hawa ni ma DC wetu wa nga'mbo!