Nini kazi ya Mabalozi wanaoiwakilisha nchi nje ya nchi.

Mbona hatuoni akina Biden au Liz Truss wakizunguka huku na huko?? Mabalozi hizo ndio kazi zao. Ukiona Biden au Liz Truss anaenda nchi fulani jua kua kuna interest kubwa ya nchi anaenda kuiongelea hawazunguki zunguki tu kila kona kama chief Hangaya, utasema alikula miguu ya kuku yeye na JK.
Hayo sifahamu kwakweli.. Unajua kusafiri nako ni utashi halafu ni hobby... All in all umeshawahi kumuona tajari anaenda kuhemea?
 
Hayo sifahamu kwakweli.. Unajua kusafiri nako ni utashi halafu ni hobby... All in all umeshawahi kumuona tajari anaenda kuhemea?
Nalo hilo ni neno tajiri uwaga ahemei , yeye hufuatwa na wahitaji. Ila twende mbele turudi nyuma kwa muda wa Hangaya akiwa madarakani na safari zake alizofanya akija kukaa vipindi viwili vyote safari zake atakua amemzidi hata mkwere pia. Chief anakata anga si mchezo ni kama kawaambia wabongo tuone mtamfanya nini.Dodoma hakai na hata Dar nako hakai yaani kiguu na njia tu.
 
Nalo hilo ni neno tajiri uwaga ahemei , yeye hufuatwa na wahitaji. Ila twende mbele turudi nyuma kwa muda wa Hangaya akiwa madarakani na safari zake alizofanya akija kukaa vipindi viwili vyote safari zake atakua amemzidi hata mkwere pia. Chief anakata anga si mchezo ni kama kawaambia wabongo tuone mtamfanya nini.Dodoma hakai na hata Dar nako hakai yaani kiguu na njia tu.
Rais hapangiwi.. Pia tuzingatie yale maonyo ya kumsema vibaya rais halafu 2lia akakazia
 
Hatumpangii sheikh, upinzani ungekua uko makini bongo na watu haswaa nakwambia 2025 hawa CCM wasingechomoa wallah laadhim. Wabongo tumeichoka hii ccm ni kwa vile hamna mbadala tu sasa hivi. Tulia nae atulie tu hapo alipo alitolewa jalalani huko na mwendazake la sivyo wala hakua kwenye circle yoyote ya kua hadi speaker...Asitutisheee banaaa.
Rais hapangiwi.. Pia tuzingatie yale maonyo ya kumsema vibaya rais halafu 2lia akakazia
 
Hatumpangii sheikh, upinzani ungekua uko makini bongo na watu haswaa nakwambia 2025 hawa CCM wasingechomoa wallah laadhim. Wabongo tumeichoka hii ccm ni kwa vile hamna mbadala tu sasa hivi. Tulia nae atulie tu hapo alipo alitolewa jalalani huko na mwendazake la sivyo wala hakua kwenye circle yoyote ya kua hadi speaker...Asitutisheee banaaa.
Nimekuelewa mkuu, ILA huhitaji upinzani mkuu,fight na mifano ipo mingi, yule school girl pale Iran 🇮🇷 amekua chanzo cha kupigania haki, sio political party
 
Mkuu umejibu sawa kufuatia swali lilivyoulizwa - nini kazi zao sasa kama mtoa mada anauliza kwa vili haoni wanachofanya jibu ni tofauti na wengi wamejielekeza huko kwani tunafahamu kuwa ni wawakilishi wetu shida ni kama tunaona wkituwakilisha ipasavyo

Mfano wa kuona kuwa raia wanaotembelea nchi hizo wanawasumbua linanikumbusha miaka ya nyuma Watanazania waishio Kenya walikuwa wanasumbuliwa na walipokwenda ubalozi wetu kutaka msaada wakaulizwa kama watu hwawataki nchini kwao mnafuata nini?

Kwa jibu hili unajiuliza hivi huyu anajua anachotakiwa kufanya akiwa kama ofisa wa ubalozi kweli?
Duh huyo aliyeuliza hivyo alikuwa mbumbumbu wa kiwango cha lami
 
Back
Top Bottom