Mutwale
Member
- Oct 20, 2010
- 67
- 19
Ndugu wanajanvi, kunataarifa za uhakika kwamba leo Mkuu wa kaya atatangaza baraza jipya la mawaziri, lakini napata taabu sana kughamua jipya litakalo fanywa na hao wateule, maana, 1. kikwazo kikubwa ni mfumo wa utawala uliopo, hakika hautawapa wateule nafasi za kuonyesha umahiri wao. 2. Makundi yanayokinzana yaliyopo dani ya chama ambamo watatoka na tatu serikali na chama tawala kupoteza mvuto mbele ya wananchi.
Wote kama sio wengi tunakubaliana kwamba walau Mh. Makofuly amakuwa ni mbwa anaye bweka,lakini je situnakumbuka jinsi alivyo pigwa biti na mkuu wa kaya aliyemteua na MP? je hawa wanaoteuliwa hataweza kuzuiliwa kufanya kazi zao?
Je Mwanuri, ninani asiyejua kwamba anajitahidi kupiga biti watendaji wa halmashauri? Lakini mbona ubadhirifu ulizidi kushika kasi? hii inadhihirisha kwamba mfumo wa utawala na utendaji ndio mbovu na hauwezi kurekebishwa kwa kubadili baraza la mawaziri bali mfumo mzima!
Kwa kuwa tumebakiza miaka mitatu kufanya uchaguzi mwingine, JK akaushe tu, mpaka 2015 tutabadili mfumo mzima kwa kuweka Chama Kipya madarakani.
Wote kama sio wengi tunakubaliana kwamba walau Mh. Makofuly amakuwa ni mbwa anaye bweka,lakini je situnakumbuka jinsi alivyo pigwa biti na mkuu wa kaya aliyemteua na MP? je hawa wanaoteuliwa hataweza kuzuiliwa kufanya kazi zao?
Je Mwanuri, ninani asiyejua kwamba anajitahidi kupiga biti watendaji wa halmashauri? Lakini mbona ubadhirifu ulizidi kushika kasi? hii inadhihirisha kwamba mfumo wa utawala na utendaji ndio mbovu na hauwezi kurekebishwa kwa kubadili baraza la mawaziri bali mfumo mzima!
Kwa kuwa tumebakiza miaka mitatu kufanya uchaguzi mwingine, JK akaushe tu, mpaka 2015 tutabadili mfumo mzima kwa kuweka Chama Kipya madarakani.