Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.

Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.

Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?

Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?

Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?

Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
asante ndugu sonafobia. Kwa ufupi,zanzibar ina wakristo wa jadi kabla tanganyika. Wameishi hapa kama wazanzibari na haijatokea sinto fahamu aina yoyote ile. Tatizo linatoka huko bara wakihoji wakristo wa zanzibar. hili, ni tatizo la wabara na sio wazanzibari. Sisi na ndugu zetu tupo pamoja.
 
Nchi inahitaji maombi ya kuiponya tena maombi yanguvu yakumkimbiza huyu ibirisi muovo nasema pepo tooooookaaaaaaaaa!!!
 
mm ni muslim lkn kunachoendelea zanzibar sikifurahi kabisa watu wanajifnya sana wanajua dini wanajifny kuwa wanaimani zilizothabiti lkn wanakosea mno

em warejee kisaa cha yule jamaa aliekojolea msikitin lkn naswahaba wakataka kumbonda lkn mtume wa Allah akatumia busara kumuelewesha jamaa hii ndio njia sahihi ya kumuelimisha mtu

Sas hawa wazanzibar wanajifny wajuz kuwa dini km ndio imezaliwa kwao mwisho wa siku ni kutengeneza chuki juu ya uislam kuchukiwa
 
Pasaka itakuwa nzuri tu hapa Visiwani... Si mnakumbuka kuwa tuliwahi kuwa na Tamasha rasmi la Pasaka, ambapo liliwakutanisha wafanyakazi wa serikali, makampuni na mashirika ya Umma kati ya Bara na Visiwani!
.
Hivyo ondoeni shaka. Leo ni Ijumaa Kuu, kulipokucha siku ilionekana kuwa ni Ijumaa Kuu... Hadi wakati wa sala ya Ijumaa ndio nikakumbuka kuwa huu ni mwezi wa Ramadhan.

Zipo sehemu kadha wa kadha ambazo unaweza kufurahia Pasaka yako bila bughuza yoyote..... Nendeni huko!

Pasaka Njema...
 
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mkenya inakuuma nini ? Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu Kenya

Mnakera sana na hiyo dini yenu ya muarabu, halafu ujinga ukute unafanya yote hayo na ukihojiwa uthibitishe uwepo wa huyo 'mungu' anayesababisha utese waafrika wenzako, hautakua na chochote cha kuonyesha zaidi ya mwanaume kuvaa dera/kanzu na kuongea ongea kiarabu.
 
Wewe wacha porojo njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua hujui
Nakuja Pasaka hii na kitimoto yangu ya kutosha tukutane mjini hapo unianzishie fujo nikiwa nafukia pilau langu la Pasaka na kitimoto changu kilichorushiwa Mapepo
 
Zanzibar ni Tanzania, na uisilamu sio special case kwenye katiba ya muungano. Labda mseme huko katiba inafuata Sheria za kiisilamu.
Umeambiwa kwa mujibu wa sheria znz ni kosa kula hadharani mchana wa Ramadhani ndio maana hao waliokamatwa wanawapeleka Mahkamani
 
Mnakera sana na hiyo dini yenu ya muarabu, halafu ujinga ukute unafanya yote hayo na ukihojiwa uthibitishe uwepo wa huyo 'mungu' anayesababisha utese waafrika wenzako, hautakua na chochote cha kuonyesha zaidi ya mwanaume kuvaa dera/kanzu na kuongea ongea kiarabu.
Wewe kweli ni mtu wa Ajabu sheria zipo za znz wenyewe wazanzibari ndio wameamua hivo unakereka wewe Mkenya ? Pole sana
 
Saudia ambako.ndio.dini.ya kiislam.imeanzia wameanza kuuza pombe na mwaka.huu mwanamke wa kiislami.wa saudi Arabia atawakilisha nchi yake Kwa mara ya Kwanza kwenye mashindani ya Miss world sasa Zanzibar wanajitanya wanajua uislam kuliko saudia
 
Waislam kama wangerekebisha mambo yafuatayo ingekuwa bonge la dini
1.ubaguzi
2.ndoa za wake wengi.
3.kutoamini uwepo wa utawala wa Mungu-wanaamini kujipigania wenyewe na sio Mungu awapiganie dhidi ya maadui zao.
4.kuona dini yao ni bora kuliko za wengine.
5.Pia kuna tatizo kufunga alafu ukaamka usiku kula.
Kama wangerekebisha haya Mimi ningesilimu mapema kwa sababu ukiristo kwa sasa unanizingua saaana kuna matapeli wanachakachua dini yetu.Waislam wamejitahidi kutoruhusu dini yao kuingiliwa na mafisadi.
 
Pasaka itakuwa nzuri tu hapa Visiwani... Si mnakumbuka kuwa tuliwahi kuwa na Tamasha rasmi la Pasaka, ambapo liliwakutanisha wafanyakazi wa serikali, makampuni na mashirika ya Umma kati ya Bara na Visiwani!
.
Hivyo ondoeni shaka. Leo ni Ijumaa Kuu, kulipokucha siku ilionekana kuwa ni Ijumaa Kuu... Hadi wakati wa sala ya Ijumaa ndio nikakumbuka kuwa huu ni mwezi wa Ramadhan.

Zipo sehemu kadha wa kadha ambazo unaweza kufurahia Pasaka yako bila bughuza yoyote..... Nendeni huko!

Pasaka Njema...
Wape location maana waliopo bara ndio wana wasiwasi wakati wenzao wanaishi huko miaka kibao ..wanafanya shughuli zao kidini daily
 
20240329_173850.jpg

Screenshot_20240329_173914_X.jpg
 
Back
Top Bottom