Jaman cc ambao tulionyimwa mkopo yan NO LOAN tunateseka sana huku vyuoni na tumeappeal lakini chaajabu ni kwmba mpaka sasa loan board ipo kimya sasa wengine wanakosa matumaini ya kuendelea na masomo semister ijayo, af kinachouma zaidi ni kwamba wengine tumewekwa kwenye group la budget exhaustion ila hadi leo hilo ndo group ambalo halina muafaka, inauma kwel jaman.