tian
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 1,769
- 528
Wewe Utabaki Kijana Milele??Utazeeka... Shaur yako.
Wewe Utabaki Kijana Milele??Utazeeka... Shaur yako.
"paka hata umuekee bill ya.maziwa na steki usidhani ndo ataacha kukimbiza panya" haipogo
Chezeya utamu wa panya weye!!!
Wala usiogope binti, kuchepuka hakupo ndoani tu zipo ndoa nyingi zisizo na michepuko kingine hata wasio nje ya ndoa uchepuka. Uwe makini tu kupata mwenza sahihi, kumbuka kama ilivyo kwa wanawake kua si kila mwanamke malaya the same kwetu wanaumeHabari zenu wanajamvi
Jamani mimi mpaka naogopa kuolewa Jamani, I meet this guy ameoa ana watoto watatu lakini anaenda kulala na machangudoa jamani ambao wanatafutiwa na madereva bajaji. Yaani nilisimuliwa na dereva bajaj mpaka nikasisimka kuna haja ya kuolewa kama mambo ndiyo yapo hivyo.😂😂
Tulijadili hili
ha ha ha kumbe panya mtamu...hebu ninong'oneze utamu wake nini kipapatio au paja ha ha ha
LoL! Vyote vitamu ili mugongo ndio umezidi kwa utamu, jaribu utaniambia nyama ya bata haioni ndani kwa utamu.
ni tabia ya mtu tu. Sio wote ni wachepukaji.
Unaamini nini rohoni mwako?